Pre GE2025 Hali ya Vyombo vya Habari kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025: Kuna uhuru wa kutosha katika utekelezaji wa majukumu yao?

Pre GE2025 Hali ya Vyombo vya Habari kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025: Kuna uhuru wa kutosha katika utekelezaji wa majukumu yao?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

1737382817292.jpeg

Kama mnavyojua tumetoka kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na sasa tunauchungulia Uchaguzi Mkuu pale Oktoba 2025. Tumeshuhudia karibia na uchaguzi wa serikali hali ya media ilivyokuwa, Mwananchi walishika 'sharubu' wakapumzishwa kwa mwezi wale urojo kidogo, jambo nao walikuwa wakijifanya 'kimbelembele' kuhoji kila kitu, wakalimwa barua.

Tuliona Mkurugenzi wa Dar 24 ikiwa ni moja ya tukio lilihohusisha mtu wa media halafu tukaambiwa ni mambo ya biashara na watu anawajua halafu jambo likaishia juu juu, hatukuona connection yoyote ikihusika na kazi yake. Za chini chini ni kuwa jamaa alikuwa anafanya kazi na CHADEMA, pesa zao kutoka nje zilikuwa zinapita kwa jamaa ndio wanazipokea. Sijui kama ni kweli ila habari ni hiyo, kwa namna fulani ina make sense maana suala la biashara ilikuwa kama ni janja janja ya kutotuambia ukweli.

Pia soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Ila pia tuliona uchawa mkubwa kwa vyombo vya habari kuegemea upande mmoja, kupendelea kurusha habari za CCM zaidi huku CHADEMA wakipata coverage kidogo, wizi wa kura ukiripotiwa zaidi na wananchi pamoja na online media na si vyombo vya habari kama TBC and the like.

Tutarajie nini sasa uchaguzi mkuu ukiwa unanukia?

Matukio ya vyombo vya habari kuelekea 2025

2024
2025
JANUARI

  1. Wasafi, Clouds na Kitenge ni matambara ya kudekia ya CCM, kusafisha matapishi na uchafu wote unaomwagwa mbele yao!
  2. Angalia CCM jinsi wamemtuma Kijakazi Yunus Kumhoji Tundu Lissu kwa Kivuli cha Clouds Media
  3. Mbowe: Hawa wanaongea uzushi uzushi kila siku kwenye vyombo vya habari baada ya Uchaguzi tutawashughulikia
  4. Kwanini TBC hawarushi Live mkutano mkuu wa CHADEMA? Je, hiki ni chombo cha CCM au Watanzania wote?
  5. Hongera Rais kwa kuimarisha demokrasia nchini. Hakuna tv yoyote ingeruhusiwa kurusha mkutunano wa CHADEMA
  6. Kuelekea Mkutano wa Katibu Mkuu CHADEMA; Waandishi wa Habari wazuiwa na kuondolewa eneo la mkutano makao makuu ya chama
  7. Jeshi la polisi kuzuia waandishi wahabari na wanasiasa kuzungumza ni ukiukwaji wa uhuru wa vyombo vya habari, kujielezea na demokrasia
  8. Handeni: DC Msando aamuru mwandishi wa habari kukamatwa na kazi zake kufutwa kwenye camera
  9. Watangazaji Crown FM wageuza kauli ya "Mitano Tena" pambio kwenye kipindi, kweli wataweza kukemea uovu hawa?
FEBRUARI
  1. Wasafi Media ishakuwa media ya CCM, wame-brand magari yao kwa rangi za CCM, kuelekea miaka 48 ya chama hicho
  2. Kuepuka Media House kufungiwa, Lissu asihojiwe live, mrekodini kwanza mhariri kisha mrushe hewani. Lissu ni risk factor kwa media
  3. TCRA, TEF kwanini hawakemei waandishi na watangazaji wanaojihusisha na siasa wazi wazi?
  4. Online TVs zimekuwa compromised na CCM? Anachofanya Baba Levo kuhusu ''Mama Hana Deni'' ni kampeni kwa Rais Samia na CCM kuelekea uchaguzi mkuu
  5. EFM wanalipwa kueneza chuki dhidi ya wapinzani kipindi hiki cha uchaguzi? Wananchi Ikungi wapewa script waseme wanamchukia Lissu
  6. Global TV, Jambo TV, EATV na wengine wamepitishiwa vibunda kumchafua Lissu? Wapost habari kusambaza chuki dhidi yake
  7. TCRA: Mwandishi anayetaka kugombea nafasi ya uongozi kwenye siasa anapaswa kuacha kazi
  8. John Heche: Vyombo vya habari vinafanya upendeleo. Wakifanya coverage ya upinzani wanafanya negative stories
  9. Tathmini ya Vyombo vya Habari kuhusu kuripoti matukio ya kisiasa nchini Februari 2025
MACHI
  1. DSM - Tundu Lissu: Vyombo vya Habari havitendi haki kwa Vyama vya upinzani, vyote vinakuwa vya CCM
  2. CHADEMA wameanza kutumia vyombo vya habari vizuri kuliko huko nyuma
 
Wakuu,


Kama mnavyojua tumetoka kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na sasa tunauchungulia Uchaguzi Mkuu pale Oktoba 2025. Tumeshuhudia karibia na uchaguzi wa serikali hali ya media ilivyokuwa, Mwananchi walishika 'sharubu' wakapumzishwa kwa mwezi wale urojo kidogo, jambo nao walikuwa wakijifanya 'kimbelembele' kuhoji kila kitu, wakalimwa barua.

Tuliona Mkurugenzi wa Dar 24 ikiwa ni moja ya tukio lilihohusisha mtu wa media halafu tukaambiwa ni mambo ya biashara na watu anawajua halafu jambo likaishia juu juu, hatukuona connection yoyote ikihusika na kazi yake. Za chini chini ni kuwa jamaa alikuwa anafanya kazi na CHADEMA, pesa zao kutoka nje zilikuwa zinapita kwa jamaa ndio wanazipokea. Sijui kama ni kweli ila habari ni hiyo, kwa namna fulani ina make sense maana suala la biashara ilikuwa kama ni janja janja ya kutotuambia ukweli.

Ila pia tuliona uchawa mkubwa kwa vyombo vya habari kuegemea upande mmoja, kupendelea kurusha habari za CCM zaidi huku CHADEMA wakipata coverage kidogo, wizi wa kura ukiripotiwa zaidi na wananchi pamoja na online media na si vyombo vya habari kama TBC and the like.

Tutarajie nini sasa uchaguzi mkuu ukiwa unanukia?

Matukio ya vyombo vya habari kuelekea 2025
Uhuru na haki za vyombo vya habari kuelekea uchaguzi mkuu wa Oct.2025, umeimarika kwa kiwango cha juu sana, ukilinganisha na kipindi chochote kilichopita tangu taifa letu lipate uhuru.

Kongole nyingi sana zimuuendee Dr.Samia Suluhu na serikali yake sikivu ya CCM, kwa kujenga mazingira mazuri ya usawa na salama ya habari, lakini pia uwekezaji mkubwa na wa kutosha sana kwenye sekta ya habari na mawasilinao, uliopelekea na kuchochea kuzalishwa kwa wanahabari wengi zaidi wenye ujuzi na weledi wa kutosha, lakini pia kuzaliwa kwa vyombo vya habari vingi zaidi tangu taifa letu lipate uhuru.

Hayo ni matunda ya mazingira bora ya habari na uwekezaji mkubwa wa serikali katika secta ya habari :HAhaa:

Mungu Ibariki Tanaznia
 
Chadema wanafukuza waandishi mikutanoni mara nyingi sana, CCM wameenda laivu muda wote na hawajafukuza waandishi
 
Uhuru na haki za vyombo vya habari kuelekea uchaguzi mkuu wa Oct.2025, umeimarika kwa kiwango cha juu sana, ukilinganisha na kipindi chochote kilichopita tangu taifa letu lipate uhuru.

Kongole nyingi sana zimuuendee Dr.Samia Suluhu na serikali yake sikivu ya CCM, kwa kujenga mazingira mazuri ya usawa na salama ya habari, lakini pia uwekezaji mkubwa na wa kutosha sana kwenye sekta ya habari na mawasilinao, uliopelekea na kuchochea kuzalishwa kwa wanahabari wengi zaidi wenye ujuzi na weledi wa kutosha, lakini pia kuzaliwa kwa vyombo vya habari vingi zaidi tangu taifa letu lipate uhuru.

Hayo ni matunda ya mazingira bora ya habari na uwekezaji mkubwa wa serikali katika secta ya habari :HAhaa:

Mungu Ibariki Tanaznia
We baba weeee tema mate chini umswalie mtume:BearLaugh::BearLaugh::BearLaugh:
 
Chadema wanafukuza waandishi mikutanoni mara nyingi sana, CCM wameenda laivu muda wote na hawajafukuza waandishi
Bana weee mikutano ya ndani ya CCM huwa inakuwa na media? Acha kutudanganya mchana kweupee
 
We baba weeee tema mate chini umswalie mtume:BearLaugh::BearLaugh::BearLaugh:

Allahu Akbar​


ukweli usemwe my beatiful lady,
vyombo vya habari na wanahabari wengi zaidi nchini wameibuliwa kutokana na mazingira bora, huru, ya haki na ya wazi na ndio maana, hivi sasa kwa mfano, ni mkoa gani nchi hii huwezi kupata gazeti, radio au tv stations?

yote haya ni matokeo kabambe ya chama na serikali sikivu ya ccm chini ya Dr.Samia Suluhu Hassan :whatBlink:
 
Wakuu,


Kama mnavyojua tumetoka kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na sasa tunauchungulia Uchaguzi Mkuu pale Oktoba 2025. Tumeshuhudia karibia na uchaguzi wa serikali hali ya media ilivyokuwa, Mwananchi walishika 'sharubu' wakapumzishwa kwa mwezi wale urojo kidogo, jambo nao walikuwa wakijifanya 'kimbelembele' kuhoji kila kitu, wakalimwa barua.

Tuliona Mkurugenzi wa Dar 24 ikiwa ni moja ya tukio lilihohusisha mtu wa media halafu tukaambiwa ni mambo ya biashara na watu anawajua halafu jambo likaishia juu juu, hatukuona connection yoyote ikihusika na kazi yake. Za chini chini ni kuwa jamaa alikuwa anafanya kazi na CHADEMA, pesa zao kutoka nje zilikuwa zinapita kwa jamaa ndio wanazipokea. Sijui kama ni kweli ila habari ni hiyo, kwa namna fulani ina make sense maana suala la biashara ilikuwa kama ni janja janja ya kutotuambia ukweli.

Pia soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Ila pia tuliona uchawa mkubwa kwa vyombo vya habari kuegemea upande mmoja, kupendelea kurusha habari za CCM zaidi huku CHADEMA wakipata coverage kidogo, wizi wa kura ukiripotiwa zaidi na wananchi pamoja na online media na si vyombo vya habari kama TBC and the like.

Tutarajie nini sasa uchaguzi mkuu ukiwa unanukia?

Matukio ya vyombo vya habari kuelekea 2025

2024

2025
Baada ya aina mbali mbali ya maombi kwenye mahekalu, makanisani na wale waliobahatika kwenda kuhiji na kwingineko
 
Naomba swali hili alijibu Adv.P. tafadhali popote ulipofanya kama unajikuna tukuone.
Ngoja nikusaidie kumtag Pascal Mayalla
Asanteni.
Niliingia newsroom kwa mara ya kwanza RTD, Jan 2 mwaka 1990 nilianza na mshahara wa TZS 3,665.95 p.m nikafanya kwa miaka 5 . Wakati naacha kazi RTD kwa miaka hiyo yote mitano, mshahara haukuwahi kufika 100,000!.

Private sector nilianzia 250,000 na wakati wa uchaguzi mkuu wa kwanza wa vyama vingi, ndio mara yangu ya kwanza kushika 6. Figure!. Hivyo kipindi cha uchaguzi ni kipindi cha mavuno kwa vyombo vya habari na waandishi!. Uchaguzi Mkuu ni Kipindi Cha Neema kwa Media!. Ni Kipindi cha Mavuno!. Jee Bahasha Hizi Ni Halali?!.

Nimeshauri sio mara moja wala mbili, media za Tanzania, tuanze kufanya endorsement kama media za wenzetu Kuelekea Octoba 2015: Je, Sasa ni Wakati wa Media Zetu Kufanya Endorsement ya Wagombea?

Pia nimeshauri Media za Wenzetu Zinafanya Endorsment, Je Ni Wakati Muafaka Sasa Media za Tanzania Tuanze Kufanya Endorsment?. Kati FAM na TAL, JF Tumuendorse Nani?

Kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mtaa, kampuni yangu imewatendea haki Watanzania. Je Vyombo vya Habari Viliwatendea Haki Watanzania Kuwaelimisha Kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa?. Mimi na PPR Yangu, Tulijitolea Vipindi 6 vya TV.
P
 
Asanteni.
Niliingia newsroom kwa mara ya kwanza RTD, Jan 2 mwaka 1990 nilianza na mshahara wa TZS 3,665.95 p.m nikafanya kwa miaka 5 . Wakati naacha kazi RTD kwa miaka hiyo yote mitano, mshahara haukuwahi kufika 100,000!.

Private sector nilianzia 250,000 na wakati wa uchaguzi mkuu wa kwanza wa vyama vingi, ndio mara yangu ya kwanza kushika 6. Figure!. Hivyo kipindi cha uchaguzi ni kipindi cha mavuno kwa vyombo vya habari na waandishi!.
P
Asante Adv.P kwa ku respond,je unaweza kusemea kidogo swali la mdau?
 
Wakuu,
Kama mnavyojua tumetoka kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na sasa tunauchungulia Uchaguzi Mkuu pale Oktoba 2025. Tumeshuhudia karibia na uchaguzi wa serikali hali ya media ilivyokuwa, Mwananchi walishika 'sharubu' wakapumzishwa kwa mwezi wale urojo kidogo, jambo nao walikuwa wakijifanya 'kimbelembele' kuhoji kila kitu, wakalimwa barua.
Its true
Ila pia tuliona uchawa mkubwa kwa vyombo vya habari kuegemea upande mmoja, kupendelea kurusha habari za CCM zaidi huku CHADEMA wakipata coverage kidogo,
Its true, mwenye kisu kikali ndie anaweza kukata pande kubwa la mnofu. CCM chama kubwa, ina kisu kikali kuliko Chadema!.
wizi wa kura ukiripotiwa zaidi na wananchi pamoja na online media na si vyombo vya habari kama TBC and the like.
Kuna vitu mainstream media inaviepuka mfano kitabu cha Kabendera!. Kuna vitu kibao naandika hapa jf siulizwi, lakini nikiandika gazetini naitwa bungeni Dodoma kuhojiwa na kamati!.
Tutarajie nini sasa uchaguzi mkuu ukiwa unanukia?
Tutarajie CCM chama kubwa will be covered na all media, vyama makapuku, Mungu saidia!. Hili nimeliandikia makala na kulitolea ushauri Vyombo vya Habari vyote Lazima Viwezeshwe ili Kuwatendea Haki Watanzania Kuwaelimisha Kufanya An Informed Decisions kwenye Uchaguzi Mkuu!
Pia nikauliza hili swali
Je Vyombo vya Habari Viliwatendea Haki Watanzania Kuwaelimisha Kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa?. Mimi na PPR Yangu, Tulijitolea Vipindi 6 vya TV.
Nimeandika mengi kuhusu media
P
 
Ila pia tuliona uchawa mkubwa kwa vyombo vya habari kuegemea upande mmoja, kupendelea kurusha habari za CCM zaidi huku CHADEMA wakipata coverage kidogo, wizi wa kura ukiripotiwa zaidi na wananchi pamoja na online media na si vyombo vya habari kama TBC and the like.
Umenena vyema kabisa aiseeee
 
Wakuu,


Kama mnavyojua tumetoka kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na sasa tunauchungulia Uchaguzi Mkuu pale Oktoba 2025. Tumeshuhudia karibia na uchaguzi wa serikali hali ya media ilivyokuwa, Mwananchi walishika 'sharubu' wakapumzishwa kwa mwezi wale urojo kidogo, jambo nao walikuwa wakijifanya 'kimbelembele' kuhoji kila kitu, wakalimwa barua.

Tuliona Mkurugenzi wa Dar 24 ikiwa ni moja ya tukio lilihohusisha mtu wa media halafu tukaambiwa ni mambo ya biashara na watu anawajua halafu jambo likaishia juu juu, hatukuona connection yoyote ikihusika na kazi yake. Za chini chini ni kuwa jamaa alikuwa anafanya kazi na CHADEMA, pesa zao kutoka nje zilikuwa zinapita kwa jamaa ndio wanazipokea. Sijui kama ni kweli ila habari ni hiyo, kwa namna fulani ina make sense maana suala la biashara ilikuwa kama ni janja janja ya kutotuambia ukweli.

Pia soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Ila pia tuliona uchawa mkubwa kwa vyombo vya habari kuegemea upande mmoja, kupendelea kurusha habari za CCM zaidi huku CHADEMA wakipata coverage kidogo, wizi wa kura ukiripotiwa zaidi na wananchi pamoja na online media na si vyombo vya habari kama TBC and the like.

Tutarajie nini sasa uchaguzi mkuu ukiwa unanukia?

Matukio ya vyombo vya habari kuelekea 2025

2024

2025
Karibu vyombo vyote vya habari hapa tz vimekuwa vya KICHAWA zaidi haviko huru kihivyo
 
Back
Top Bottom