Kituo cha Afya cha Sokoine ambacho wenyeji wa huku tumezoea kukiita Hospitali ya Sokoine, kilichopo katika Manispaa ya Singida ni taasisi kongwe Mkoani hapa
Kwa ukongwe wake Hospitali hiyo ilitakiwa iwe na mazingira mazuri haswaa, kuzingatia afya na usalama wa wagonjwa /wauguzaji pamoja na watumiaji wengine.
Hali ya vyoo kwenye hospitali hiyo inatisha na kusikitisha sana. Vyoo ni vichafu sana, vinatia kinyaa. Ni hatari sana kwa Afya.
Ni aibu sana kwa Hospital kama hii kuwa na vyoo kwanza vya kizamani pili na la muhimu ni vichafu mnooo.
Wahusika hebu boresheni mazingira haswa huko vyooni ambako ni kwa muhimu sana.
ZINGATIENI AFYA YA WATEJA WENU. KWAKUWA NINYI HAMTUMII VYOO HIVYO HAIMAANISHI MSIZINGATIE USAFI WA WATU WENGINE.
Serikali yaanza maboresho ~ Serikali yaanza maboresho ya Vyoo vya Kituo cha Afya cha Sokoine, Manispaa ya Singida
Kwa ukongwe wake Hospitali hiyo ilitakiwa iwe na mazingira mazuri haswaa, kuzingatia afya na usalama wa wagonjwa /wauguzaji pamoja na watumiaji wengine.
Hali ya vyoo kwenye hospitali hiyo inatisha na kusikitisha sana. Vyoo ni vichafu sana, vinatia kinyaa. Ni hatari sana kwa Afya.
Ni aibu sana kwa Hospital kama hii kuwa na vyoo kwanza vya kizamani pili na la muhimu ni vichafu mnooo.
Wahusika hebu boresheni mazingira haswa huko vyooni ambako ni kwa muhimu sana.
ZINGATIENI AFYA YA WATEJA WENU. KWAKUWA NINYI HAMTUMII VYOO HIVYO HAIMAANISHI MSIZINGATIE USAFI WA WATU WENGINE.
Serikali yaanza maboresho ~ Serikali yaanza maboresho ya Vyoo vya Kituo cha Afya cha Sokoine, Manispaa ya Singida