Hali yazidi kuwa ngumu Kenya dhidi ya Corona, Wabunge watatu watoa machozi baada ya kusikia shida madaktari wanazopitia

Hali yazidi kuwa ngumu Kenya dhidi ya Corona, Wabunge watatu watoa machozi baada ya kusikia shida madaktari wanazopitia

Cannabis

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2014
Posts
11,557
Reaction score
33,535


Wabunge watatu leo nchini Kenya walibubujikwa na machozi baada ya Mtendaji Mkuu wa chama cha Madaktari Chibanzi Mwachonda kusimulia madhila yaliyowakuta baadhi ya madaktari waliopoteza uhai wao wakipambana na ugonjwa wa COVID-19.

Chama hicho cha madaktari kimelalamika kuwa ukosefu wa posho na huduma za afya kwa wahudumu wa afya kunasababisha wengi wao kukosa msaada kwa wakati, kwa mfano daktari mmoja alifariki wakati akingojea kuhamishiwa Nairobi kutoka Eldoret kwani hakukuwa na kitanda cha ICU.

Hali hiyo ilipelekea wabunge watatu kutoa machozi na kuilaumu serikali kwa kushindwa kuwasaidia madaktari ambao wapo mstari wa mbele kupambana na janga hili la virusi vya corona.

Wote sisi ni wana wa Afrika ya Mashariki, tunawaombea Mwenyezi Mungu awavushe salama katika hili janga ndugu zetu wa Kenya ! 🙏 🇰🇪
 
Dah ila walivyokua wakitutukana sasa! Walivyokua wakifurahia kusikia habari mbaya kutuhusu na kufake ili tuonekane tunateketea,

Kweli malipo ni hapa hapa duniani, kigogo mwenyewe aliekua akifurahia vifo vya watu kama sherehe, leo babake ni maiti

Wacha karma ichukue mkondo wake tu.

2617558_tapatalk_1605543110901.jpeg
 
Unawaombea dua njema utadhan wanatupenda.. waache wapambane na hali yao
Tusilipe baya kwa baya hiyo si hulka yetu Watanzania, siku zote sisi huwa ni waungwana na wastaarabu, hata kipindi walikuwa wanauana kwa sababu ya uchaguzi ni sisi ndio tuliwasaidia
 
Tusilipe baya kwa baya hiyo si hulka yetu Watanzania, siku zote sisi huwa ni waungwana na wastaarabu, hata kipindi walikuwa wanauana kwa sababu ya uchaguzi ni sisi ndio tuliwasaidia
Mkuu kwa Kenya hapana kabisa, hawa watu ni wanyama kuputiliza, sio wa kuwaonea huruma kabisa, hawajifunzi wala kujirekebisha.

Hata baada ya kutusema vibaya kipindi cha cha Corona na dunia kukubali kwamba Tanzania tumeshinda hii vita, bado wakenya wamehamishia chuki Zao na kuanza kutuchafua katika uchaguzi.
 
Dah ila walivyokua wakitutukana sasa! Walivyokua wakifurahia kusikia habari mbaya kutuhusu na kufake ili tuonekane tunateketea,

Kweli malipo ni hapa hapa duniani, kigogo mwenyewe aliekua akifurahia vifo vya watu kama sherehe, leo babake ni maiti

Wacha karma ichukue mkondo wake tu.View attachment 1629604
Kifupi wewe ni mjinga, yawezekana walio karibu na wewe wanakuficha au wanakuogopa kukuambia ukweli. Narudia tena WEWE NI MJINGA
 
Mkuu kwa Kenya hapana kabisa, hawa watu ni wanyama kuputiliza, sio wa kuwaonea huruma kabisa, hawajifunzi wala kujirekebisha.

Hata baada ya kutusema vibaya kipindi cha cha Corona na dunia kukubali kwamba Tanzania tumeshinda hii vita, bado wakenya wamehamishia chuki Zao na kuanza kutuchafua katika uchaguzi.
Uchaguzi haujafanyika mkuu. Unless kama unazungumzia ule uchafuzi wa 28 October
 
Tusilipe baya kwa baya hiyo si hulka yetu Watanzania, siku zote sisi huwa ni waungwana na wastaarabu, hata kipindi walikuwa wanauana kwa sababu ya uchaguzi ni sisi ndio tuliwasaidia
Sasa.. kwa taarifa yako.. hiyo shida wanayoipata hao mbwa.. ni Laana, Kenya huwajui vizuri, take time kuwafahamu.

#Wafe tu
 
Uchaguzi haujafanyika mkuu. Unless kama unazungumzia ule uchafuzi wa 28 October
Wasimamizi wote waliohudhuria na kufuatilia uchaguzi wameonyeshwa kuridhishwa na uchaguzi jinsi ulivyofanyika, wapiga kelele mitandaoni na wapinzani ambao ni kawaida yao Africa nzima kupinga kila matokeo, ndio wanaopinga.

Lini wapinzani walishakubali kushindwa hapa Tanzania, Kenya na nchi zote za Africa ukiacha South Africa, Ghana na Nigeria katika baadhi ya chaguzi?
 
Kifupi wewe ni mjinga, yawezekana walio karibu na wewe wanakuficha au wanakuogopa kukuambia ukweli. Narudia tena WEWE NI MJINGA
Wewe ni mpumbavu na limbukeni sababu unaongea kwa kutumia makalio badala ya ushahidi kama huu

2617558_tapatalk_1605543110901.jpeg
 
Haha delusion of granduer.
Hahahaha mmechukua dollars billion 1 kutoka IMF kama covid-19 combating package yet doctors are dying for the lack of masks and allowance! 😂😂😂😂

Failed state is so real here
 
Acha wapoteane kabisa si walikuwa wanatucheka!

Halafu kuna wajinga hapa hapo juu kipindi tunatumia mbinu zetu kupambana na Corona walikiwa wanashirikana na Wakenya kutudhihaki halafu leo tuwaonee huruma hawa mbizi
 
Acha wapoteane kabisa si walikuwa wanatucheka!

Halafu kuna wajinga hapa hapo juu kipindi tunatumia mbinu zetu kupambana na Corona walikiwa wanashirikana na Wakenya kutudhihaki halafu leo tuwaonee huruma hawa mbizi
Hatujasema mtuhurumie, umeskia tukiwalilia ahaha wewe pambana tu na hali yako hapo uswahilini
 
Hatujasema mtuhurumie,,,umeskia tukiwalilia ahaha wewe pambana tu na hali yako hapo uswahilini

Nani apambane sasa!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Mtz anapopambana na njaa,jua mkenya ana njaa, vita, maradhi.

yaani ratio ni 1:3.
 
Jana nilikuw nawasikiliza redio citizen, badala ya kuwaonea huruma ilinibidi nicheke...
 
Back
Top Bottom