Petro E. Mselewa JF-Expert Member Joined Dec 27, 2012 Posts 10,307 Reaction score 25,932 Dec 27, 2012 #1 Baada ya miaka kadhaa ya kuchungulia kama mgeni,sasa nimeamua kuingia ndani nami niwe mmoja wenu. Nitachangia na kuchangiwa hoja. Mko poa lakini? Tupo pamoja!
Baada ya miaka kadhaa ya kuchungulia kama mgeni,sasa nimeamua kuingia ndani nami niwe mmoja wenu. Nitachangia na kuchangiwa hoja. Mko poa lakini? Tupo pamoja!
Lokissa JF-Expert Member Joined Nov 20, 2010 Posts 7,445 Reaction score 2,500 Dec 27, 2012 #2 karibu sana jazba hazitakiwi kama mtu kakuudhi bora ukae kimya kuepuka bun. sio kila mtu atakukubali na pia sio kila mtu utamkubali fikra mbadala na busara zaidi
karibu sana jazba hazitakiwi kama mtu kakuudhi bora ukae kimya kuepuka bun. sio kila mtu atakukubali na pia sio kila mtu utamkubali fikra mbadala na busara zaidi
Globu JF-Expert Member Joined Jan 12, 2011 Posts 8,659 Reaction score 2,227 Dec 28, 2012 #3 Karibu Mkubwa.
TIQO JF-Expert Member Joined Jan 8, 2011 Posts 13,786 Reaction score 2,095 Dec 28, 2012 #4 Hali zetu zimefanyaje?
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,248 Reaction score 13,244 Dec 28, 2012 #5 Karibu sana JF mkuu.
Magwangala JF-Expert Member Joined Oct 4, 2011 Posts 2,836 Reaction score 2,138 Dec 28, 2012 #6 Petro Eusebius Mselewa karibu sana mkuu!
S Sangomwile JF-Expert Member Joined Aug 17, 2012 Posts 3,211 Reaction score 1,059 Dec 30, 2012 #7 Petro,unakaribishwa.
Ritz JF-Expert Member Joined Jan 1, 2011 Posts 51,303 Reaction score 40,190 Dec 30, 2012 #8 Karibu sana.
zenmoster JF-Expert Member Joined Oct 3, 2011 Posts 951 Reaction score 202 Dec 30, 2012 #9 Yo warmly welcomed
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 73,773 Reaction score 102,126 Jan 1, 2013 #10 Magwangala said: Petro Eusebius Mselewa karibu sana mkuu! Click to expand... umelijua vipi jina lake la kati?
Magwangala said: Petro Eusebius Mselewa karibu sana mkuu! Click to expand... umelijua vipi jina lake la kati?
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 73,773 Reaction score 102,126 Jan 1, 2013 #11 Karibu sana JF...