kapesly Senior Member Joined Jan 1, 2017 Posts 163 Reaction score 108 Jun 18, 2017 #1 Hali hii ilivyombaya......duuh yaani hadi panya wameamua kunikimbia...hapa nimebakiwa na shingtano ya mwinyi Nawaza sijui magufuli . aseme RUKSAaaaaa tuuuuu,
Hali hii ilivyombaya......duuh yaani hadi panya wameamua kunikimbia...hapa nimebakiwa na shingtano ya mwinyi Nawaza sijui magufuli . aseme RUKSAaaaaa tuuuuu,
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 52,812 Reaction score 71,392 Jun 18, 2017 #2 Mmmmmh
Snowpiercer JF-Expert Member Joined Sep 15, 2014 Posts 2,358 Reaction score 4,263 Jun 18, 2017 #3 mpaka panya wamekukimbia kweli umebaki mweupe peee
kapesly Senior Member Joined Jan 1, 2017 Posts 163 Reaction score 108 Jun 18, 2017 Thread starter #4 PjMarLu said: mpaka panya wamekukimbia kweli umebaki mweupe peee Click to expand... Bora hats magu auze uwo mchanga wa makikia kwa mondo ajengee Madame, halafu tugawane tyu maana inchii hii ishapigwa Bwei
PjMarLu said: mpaka panya wamekukimbia kweli umebaki mweupe peee Click to expand... Bora hats magu auze uwo mchanga wa makikia kwa mondo ajengee Madame, halafu tugawane tyu maana inchii hii ishapigwa Bwei
bigmind JF-Expert Member Joined Oct 28, 2015 Posts 12,457 Reaction score 12,689 Jun 18, 2017 #5 Mkuu mimi nina jiti tuu..! Huwezi amini. Tahadhari usipe mtaani kwangu mida ya saa mbili nitakupiga ngetta..
Mkuu mimi nina jiti tuu..! Huwezi amini. Tahadhari usipe mtaani kwangu mida ya saa mbili nitakupiga ngetta..