DADA wa hiyari wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond', Halima Kimwana amejichora tatuu ya jina la staa huyo na kudai anampenda na yupo tayari kufa kwa ajili yake.
Alisema ukaribu wake ni wa kawaida lakini yupo tayari kufa badala yake (Diamond).
"Nipo tayari kufa kwa ajili ya Diamond, nimechora tatuu ya jina lake mkononi kuonesha msisitizo, namkubali" alisema Halima.
kUNA TETESI NILIZISIKIA UMU JF KUWA HALIMA KIMWANA NDIO ANAMTAFUTIA DIAMOND WATOTOZ
yoelisahe nawe unajitoa ufahamu !
Damond amekukaa sana mukichwa humo?
Angalia title ya thread yako ! Na Tattoo yenyewe !
Pole sana mkuu !
:msela:
Huyo halima white nayeye mjumbe wa bunge la katiba au?
Bilashaka mkuu
tatizo ni wewe na wala sio mleta mada....kipi kigumu kueleweka hapo?
?
Kwani imekuaje mpaka akajichora matatoo ya mtu na mke wake !
!
Huyo aliejichora WEMA ni KAJALA mpwa sio Halima alikua analipa zile mil 16 za kutolewa jela.
Huyo aliejichora WEMA ni KAJALA mpwa sio Halima alikua analipa zile mil 16 za kutolewa jela.