Halima Kimwana ajichora tatoo ya Diamond kurudisha fadhira

Ndomo nae sio mtu mzuri yan hata kumpigisha pamba Dada yake wa hiyar maana niliwaona sinza mori kama MTU na housegl wak


Rumi hujasikia kwamba Wema sepetu alipewa pesa na Kigogo wa ikul'' Clement !
Ili akamtoe kajala ?
!
 
Ndomo nae sio mtu mzuri yan hata kumpigisha pamba Dada yake wa hiyar maana niliwaona sinza mori kama MTU na housegl wak

Haaaaahaaa nani Halima duh yule anamsaidia sana kumletea nyama pale kwake.
 
Na yeye mpaka kujichora kote kule ! WEMA mwenyewe Pesa alipewa na Clement wa ikul'' !
!

Ila habari za mtaani si wanasema bibie kaamua kwenda kuzilipa kwa vitendo hizi 16 mil kwa mwenyewe aliezitoa haaaahaaa hawa celebs wa kwetu ni takataka hasa wa kike.
 
Make amekuwa maarufu ila sijui ni nani, modal mwanamuziki au nani?

Nilisikiaga alikuwa mshiriki katika mashindani ya manywere kimwana....kitu kama hicho.. Hence the name Halima KIMWANA
 
Ila habari za mtaani si wanasema bibie kaamua kwenda kuzilipa kwa vitendo hizi 16 mil kwa mwenyewe aliezitoa haaaahaaa hawa celebs wa kwetu ni takataka hasa wa kike.


Afu wema anajifanya anamaind kama ! Alitoa yeye hivi zile pesa !
 
Mbaya nae huyuuu sijui hua anajipodoajee lol
 
Nilisikiaga alikuwa mshiriki katika mashindani ya manywere kimwana....kitu kama hicho.. Hence the name Halima KIMWANA

Kwamba ana unywele wa hatari, mbona anavaa mawigi sasa
mmh nahisi kuna umbea imejificha hapa
warumi sijui yupo wapi
 
Last edited by a moderator:
halima n dada wa hiar wa domo.. ss uyo halima duhh ata km n kujpendekeza too much.. ashindwe kuchora tatoo la bwana lake akachore la domo..ss na wema afanye nn??? kutwa kuweka instagram picha za domo
 
Kwamba ana unywele wa hatari, mbona anavaa mawigi sasa
mmh nahisi kuna umbea imejificha hapa
warumi sijui yupo wapi

Kimwana manywele ni shindano la kukatika mauno. Humo watu wanamwaga nyonga hatari.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…