Magazeti ya Shigongo yanapunguza nguvu za kume
this is not right, hili jukwaa halikuanzishwa kwa ajili ya wanawake tu. labda kama sijakuelewa mkuu
Hii thread nimeanzisha mimi mwenyewe,tafadhali kama umeamua kutembelea humu uwe na Adabu zote na kuheshimu kile alichokiandika mwenzio,kama unaona ni bullshti unaweza kusepa tu kimya kimya bila kuchafua hali ya hewa,kama ukijifanya umepinda,mimi mwenyewe nimekatika kabisa,mimi siwezi ata siku moja kuingia kwenye thread ya mtu nikaanza kutoa maneno ya shombo,naomba tu heshima ichukue mkondo wake
Hii thread nimeanzisha mimi mwenyewe,tafadhali kama umeamua kutembelea humu uwe na Adabu zote na kuheshimu kile alichokiandika mwenzio,kama unaona ni bullshti unaweza kusepa tu kimya kimya bila kuchafua hali ya hewa,kama ukijifanya umepinda,mimi mwenyewe nimekatika kabisa,mimi siwezi ata siku moja kuingia kwenye thread ya mtu nikaanza kutoa maneno ya shombo,naomba tu heshima ichukue mkondo wake
warumi banned nini shida tena
Jamani warumi wangu yuko wapiiiiiiiiuuuu uuuuuuuuwiiiiiiiiii
Duuuu watu wengine humu mnajifanya wanaume kumbe wanawake tuuu
Udaku ndo unaoweka watu mjini hapa..emaana mkuu nimestuka jinsi alivyo interested na private issue za watu namna hii sijapata kuona mtu unaguswa na kufwatilia mambo ya watu namna hii aisee
Udaku ndo unaoweka watu mjini hapa..e
nyie ndo mnatuharibia vijana wetu mfuate aliko
Nataka uwe wifi yangu? ?kaka yangu anataka kukuoaa
naona unatafuta umaarufu kwa nguvu
Ila sio siri ,warumi ni m_mbeya sana,sijui anafanya kazi saluni kinondoni?