Halima Mdee amtafutia Lulu wakili

Mufiyakicheko

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2011
Posts
892
Reaction score
86
kuna tetesi mbunge wa jimbo la kawe mh Halima jemes mdee anampango wa kutafuta wakili wa kumsaidia msani
Elizabeti michael [Lulu] kwenye kesi ya malehem kanumba.

mwenye taalifa kamili

nawasilisha
 
Sasa kama huna taarifa kamili unapost kwanini? Na hiyo malehem ndo nini?
 
Mufiyakichekomameongoza idadi yanposti
 
kuna tetesi mbunge wa jimbo la kawe mh Halima jemes mdee anampango wa kutafuta wakili wa kumsaidia msani
Elizabeti michael [Lulu] kwenye kesi ya malehem kanumba.

mwenye taalifa kamili

nawasilisha

Jaribu kutumia akili zako zoote. Zikiisha ndipo uombe za wenzako. tetesi! si umuulize aliyekupa tetesi, by the way, is it bad or sin? Ni haki na ni maamuzi yake mwenyewe na hajakuomba pesa. Mwache
 
Nafikiri Halima ni kijana makini kabisa na amethibitisha kwa kuchukua hatua nina kuunga mkono Mh. H. Mdee.

 

Kwani kuna tatizo gani Mdee kumtafutia wakili?
 
Mh.halima mdee,kathibitisha kwamba alienda kumtembelea kituo cha oysterbay na akasema lulu ana miaka 17 na sio 18 kama ilivyoripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari,kwa maelezo zaidi mfuate ktk ukurasa wake wa twitter@halimamdee.
 
Mh.halima mdee,kathibitisha kwamba alienda kumtembelea kituo cha oysterbay na akasema lulu ana miaka 17 na sio 18 kama ilivyoripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari,kwa maelezo zaidi mfuate ktk ukurasa wake wa twitter@halimamdee.

Halafu hili la kusema anamiaka 17 mimi linanitia wasiwasi , maana kama ana vyeti na vikaonyesha anamiaka 18 itajenga picha mbaya kwenye kesi yake
Kuwa anajua alichofanya hivyo anadanganya umri kujilinda

Namtakia kila la heri aumalize mtihani huu salama
 
Mh.halima mdee,kathibitisha kwamba alienda kumtembelea kituo cha oysterbay na akasema lulu ana miaka 17 na sio 18 kama ilivyoripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari,kwa maelezo zaidi mfuate ktk ukurasa wake wa twitter@halimamdee.

lulu ni under 18, Kanumba alikuwa ana.......kimakosa
 

Inawezekana ni Editing Error,
Fuatilieni mafaili yake akiwa shule ya msingi
 
lulu ni mtoto, umerudia tena eti umeona cheti cha kuzaliwa, mara anategemewa na mama yake. mh! unazidi kuniacha hoi. Unajua wazi huyu binti keshapanda kizimbani kwa charge ya murder, wewe ni lawyer, unajua rule of law ni nini. unapigania maadili majukwaani kila siku, hayo maadili yataanzia hewani? binafsi, namuonea sana huruma huyu mtoto Elizabeti Michael ila nina hamu ya kujua huyu BINTI Lulu anahusikaje au hahusiki na kifo cha kanumba. Unataka utusahaulishe vimbwanga vya binti Lulu kirahisi hivi? mtoto mdogo usiku mkubwa anakuwa kwa mwanaume? Acha sheria ichukue mkondo wake. unatamba kuwa out of 40 ni watu 10 tu wanaokupinga, naomba nikukumbushe mageuzi ya vyama vingi, majority walipenda chama kimoja kiendelee(mangumbalo) lkn wenye akili wachache walitaka vyama vingi. Hii itakula kwako, mi napost 4 the 2nd time tatizo lenu politians huwa mnafikiria mnajua kila kitu encyclopedic perception. pole nafunga domo langu, tukiwa hai nitakukumbusha.
 
aisii fanya utafiti kabla ya kupost, sasa unatuuliza sisi kutafuta umbea, mi nadhani kama unaona huna cha kupost pita njia . harafu unaonekana ulikuwa unatoroka kipindi cha kiswahili na mwandiko darasa la pili, sipati picha mwandiko wako wa mkono.....
 
lulu ni under 18, Kanumba alikuwa ana.......kimakosa
Inamaana alidanganya miaka alipodondosha pati la nguvu kusheherekea miaka 18 mwaka jana ili ahalalishe watu kumrukia kisheria?

https://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/128372-lulu-atimiza-miaka-18-hongera-sana-2.html

[video=youtube_share;S4FtMCz9Ngs]http://youtu.be/S4FtMCz9Ngs[/video]
 
Tatizo Lulu mwenyewe aliukana sana utoto wake ili aweze kuruhusiwa kuingia kwenye nyumba za starehe. Sasa amepata matatizo anataka kuurudia utoto alioukana ili unsaidie. Kwa kweli anatia huruma sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…