Halima Mdee kugombea nafasi ya ujumbe kamati ya utendaji Yanga!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Ni katika uchaguzi utakaofanyika hivi karibuni kujaza nafasi zilizo wazi. Mdee atachuana na wakali wengine kama Aron Nyanda, Ally Mayai, Bin Kleb nk.

Katika nafasi ya Mwenyekiti Manji amekubali kurejea klabuni hapo kuendelea na majukumu yake kuanzia January 15 mwakani.

Ikumbukwe pia kuwa Lowassa, Mbowe na Mwigulu ni wanazi wakubwa wa Yanga.

Source Clouds 360!
 

Kwa hiyo?
 
Manji tena? Au alikuwa anatikisa kibiriti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…