Mbunge wa Jimbo la Kawe Mhe. HALIMA MDEE akijifua kumkabili JACQUILINE WOLPER katika pambano lao ndondi siku ya tarehe 07.07.2013, venue itakuwa National stadium kwenye Tamasha la Matumaini. Idd Azan atazipiga na JB wa Bongo Movie. I think it's gonna be fun!