Mbona mzee Mgaya unakuwa na ufinyu wa kufikiri.
Bunge la sasa ni matokeo ya Uchaguzi wa 2020 na ulisimamiwa na Magufuli mwenyewe.
Tunakumbuka walivyokatwa watu, hata kina Chenge na kura za mabegi.
Matokeo yakikuwa so smooth kiasi kwamba wapinzani hawakupenyeza hata sindano.
Kazi nzuri ya Magufuli!
Tukajikuta tuna bunge ka CCM watupu isipokuwa mbunge mmoja nafikiri Katavi huko.
Tatizo sasa kuna nafasi kikatiba lazima zishikiliwe na wapinzani.
Forgeries zikaanza kati ya Tume ya Uchaguzi na Ndugai.
Wakaingizwa kimpango mpango hao 19 wa CDM, kina Mdee.
Halima Mdee si wa upinzani, naye anajua hilo.
Yeye ni zao la Magufuli.
Sasa ataongea nini cha maana watu wamwelewe.
Sasa Magufuli angekemea vipi kazi yake?