Halima Mdee: Namkubali sana Roma Mkatoliki, sio Alikiba wala sio Diamond

Roma habani pua wala kulamba lips ndio maana!Halima yupo sahihi.Msanii tangia miaka ile ni kuimba mambo ya mapenzi tuuuu aa badilikeni bana.
 
Hii sentensi ya Halima Mdee imenishangaza sana;

“Kwahiyo Roma above all, yaani wasanii wote, si Diamond, si Alikiba wote wanaimba mapenzi, ni wasanii maarufu wanapendwa lakini mwisho wa siku wanaimba mapenzi na mapenzi hayasaidii nchi''

Kwa maana nyingine anasema, bila kuimba mapenzi kunasaidia nchi!

Hivi Mdee hafahamu kuwa bila mapenzi, hakuna ndoa na bila ndoa, taifa linakosa msingi wa maisha endelevu.
 
Huwezi ukampenda daimond muimba mapenzi wakati wew huna hata mpenzi na hujawahi tongozwa
Akitongozwa unataka atangaze? Na kama ana mpenzi unataka amuweke insta? Ye sio bongo movie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…