Pre GE2025 Halima Mdee ndiye Mtu Pekee aliyekuwa Sahihi kumpokea Uwenyekiti Mbowe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
U
Usitupangie wewe pro-chawa.
 
Wewe achana na polojo twende tukajadili lipoti ya CAG TUMEPIGWA TENA NA CCM acha uzuzu wako
 
Siku hizi umebadilika sana...uweki namba ya simu...au hutaki tena uteuzi baada ya Mama kusema vijana wa ccm mnasifia kila kitu 😀
 
Kama unam penda peleka posa. Bado yuko single...!!
 
Faili lako watachelewa sana kulipeleka mbele. Nitafute PM nikupe mchongo wa maana
 
Tunamshukuru Samia kwa kukupa akili za kuishauri Chadema.
Asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…