Halima Mdee ndiye shujaa wa CHADEMA mpaka sasa. Bila yeye, CHADEMA ingekuwa haipo. Tumpe maua.

Halima Mdee ndiye shujaa wa CHADEMA mpaka sasa. Bila yeye, CHADEMA ingekuwa haipo. Tumpe maua.

ngaiwoye

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
2,150
Reaction score
3,225
Leo nikiperuzi mitandaoni, nimeona taarifa ya aliekuwa mbunge wa Arusha mjini, bwana God bless Lema akisema Ile dhana inayojengwa kwamba wao walikimbilia nje ya nchi mwenyekiti Mbowe akabaki sio ya kweli...amesema mwenyekiti Mbowe pia alikimbilia Dubai...

Maana yake, wanaume wote mlikimbilia ughaibuni mkamwacha Halima Mdee hapa peke yake. Hivi, katika mazingira hayo, mlitaka Halima Mdee afanyeje?

Leo nimemwelewa Halima. Alichofanya ilikuwa lazima afanye ili hata basi upinzani ubakie. Kama asingefanya hivyo, chama kingekufa. Halima ni shujaa. Wanaume mmekimbia, yeye akabaki na wanawake wenzake.

Maamuzi aliyofanya yalikuwa sahihi kabisa, sasa nimemwelewa. Wanaume wote wamekimbia, mwanamke ni dhaifu ameachwa peke yake... mlitaka afanyeje?

Halafu bila haya na madevu yenu, mnamwita Halima msaliti, na wale wanawake mnawaita Covid-19, wakati sasa hivi mnagombania ruzuku zinazotokana nao... aibu kwenu, mkiongozwa na Lema. Acheni ufala.

Sharaut kwa Halima na wanawake 18!
 
Leo nikiperuzi mitandaoni, nimeona taarifa ya aliekuwa mbunge wa Arusha mjini, bwana God bless Lema akisema Ile dhana inayojengwa kwamba wao walikimbilia nje ya nchi mwenyekiti Mbowe akabaki sio ya kweli...amesema mwenyekiti Mbowe pia alikimbilia Dubai...

MAANA YAKE WANAUME WOTE MLIKIMBILIA UGHAIBUNI MKAMWACHA KHALIMA MDEE HAPA PEKE YAKE...HIVI KATIKA MAZINGIRA HAYO MLITAKA HALIMA MDEE AFANYEJE??
LEO NIMEMWELEWA KHALIMA...ALICHOFANYA ILIKUWA LAZMA AFANYE ILI HATA BASI UPINZAN UBAKIE, NA ASINGEFANYA HIVYO MANAKE CHAMA KINHEKUFA HIKI. KHALIMA NI SHUJAA, WANAUME MMEKIMBIA YEYE AKABAKI NA WANAWAKE WENZAKE.
MAAMUZI ALIYOFANYA YALIKUWA SAHIHI KABISA SASA NIMEMWELEWA. WANAUME WOTE WAMEKIMBIA, MWANAMKE NI DHAIFU AMEACHWA PEKE..MLITAKA AFANYEJE?? HALAFU BILA HAYA NA MADEVU YENU MNAMWITA HALIMA MSALITI NA WALE WANAWAKE MNAWAITA COVID 19, WAKATI SAHIZI MNAGOMBANIA RUZUKU ZINAZOTOKANA NAO...SHAME UPON YOU MKIONGOZWA NA LEMA...ACHENI UFALA

SHARAUT TO KHALIMA and 18 women....
Halima hakuwa na sababu ya kukimbia maana alishapewa buyu la asali acheze nalo.
 
Leo nikiperuzi mitandaoni, nimeona taarifa ya aliekuwa mbunge wa Arusha mjini, bwana God bless Lema akisema Ile dhana inayojengwa kwamba wao walikimbilia nje ya nchi mwenyekiti Mbowe akabaki sio ya kweli...amesema mwenyekiti Mbowe pia alikimbilia Dubai...

Maana yake, wanaume wote mlikimbilia ughaibuni mkamwacha Halima Mdee hapa peke yake. Hivi, katika mazingira hayo, mlitaka Halima Mdee afanyeje?

Leo nimemwelewa Halima. Alichofanya ilikuwa lazima afanye ili hata basi upinzani ubakie. Kama asingefanya hivyo, chama kingekufa. Halima ni shujaa. Wanaume mmekimbia, yeye akabaki na wanawake wenzake.

Maamuzi aliyofanya yalikuwa sahihi kabisa, sasa nimemwelewa. Wanaume wote wamekimbia, mwanamke ni dhaifu ameachwa peke yake... mlitaka afanyeje?

Halafu bila haya na madevu yenu, mnamwita Halima msaliti, na wale wanawake mnawaita Covid-19, wakati sasa hivi mnagombania ruzuku zinazotokana nao... aibu kwenu, mkiongozwa na Lema. Acheni ufala.

Sharaut kwa Halima na wanawake 18!
Naunga mkono hoja
Halima
Mdee ni
Chuma "Mzoea vya kunyonga vya kuchinja Haviwezi". Hongera Halima Mdee na Makamanda wote kwa kugomea wito wa kienyejienyeji
Just imagine...
Makamanda walioigharimia CHADEMA kwa machozi, jasho na damu, leo ni wakuitwa wasaliti? Karma Haitawaacha salama, itawatandika tu
P
 
Leo nikiperuzi mitandaoni, nimeona taarifa ya aliekuwa mbunge wa Arusha mjini, bwana God bless Lema akisema Ile dhana inayojengwa kwamba wao walikimbilia nje ya nchi mwenyekiti Mbowe akabaki sio ya kweli...amesema mwenyekiti Mbowe pia alikimbilia Dubai...

Maana yake, wanaume wote mlikimbilia ughaibuni mkamwacha Halima Mdee hapa peke yake. Hivi, katika mazingira hayo, mlitaka Halima Mdee afanyeje?

Leo nimemwelewa Halima. Alichofanya ilikuwa lazima afanye ili hata basi upinzani ubakie. Kama asingefanya hivyo, chama kingekufa. Halima ni shujaa. Wanaume mmekimbia, yeye akabaki na wanawake wenzake.

Maamuzi aliyofanya yalikuwa sahihi kabisa, sasa nimemwelewa. Wanaume wote wamekimbia, mwanamke ni dhaifu ameachwa peke yake... mlitaka afanyeje?

Halafu bila haya na madevu yenu, mnamwita Halima msaliti, na wale wanawake mnawaita Covid-19, wakati sasa hivi mnagombania ruzuku zinazotokana nao... aibu kwenu, mkiongozwa na Lema. Acheni ufala.

Sharaut kwa Halima na wanawake 18!
Uchawi umeanza lini? Bora CHAWA kuliko MCHAWI
 
Takataka wewe Halima akimbie wakati alijifojia Ubunge.

Mbona Heche,Msigwa walibaki Sugu, na wengine wengi umemsahau Sakaya we ni matako kweli wewe.
 
Leo nikiperuzi mitandaoni, nimeona taarifa ya aliekuwa mbunge wa Arusha mjini, bwana God bless Lema akisema Ile dhana inayojengwa kwamba wao walikimbilia nje ya nchi mwenyekiti Mbowe akabaki sio ya kweli...amesema mwenyekiti Mbowe pia alikimbilia Dubai...

Maana yake, wanaume wote mlikimbilia ughaibuni mkamwacha Halima Mdee hapa peke yake. Hivi, katika mazingira hayo, mlitaka Halima Mdee afanyeje?

Leo nimemwelewa Halima. Alichofanya ilikuwa lazima afanye ili hata basi upinzani ubakie. Kama asingefanya hivyo, chama kingekufa. Halima ni shujaa. Wanaume mmekimbia, yeye akabaki na wanawake wenzake.

Maamuzi aliyofanya yalikuwa sahihi kabisa, sasa nimemwelewa. Wanaume wote wamekimbia, mwanamke ni dhaifu ameachwa peke yake... mlitaka afanyeje?

Halafu bila haya na madevu yenu, mnamwita Halima msaliti, na wale wanawake mnawaita Covid-19, wakati sasa hivi mnagombania ruzuku zinazotokana nao... aibu kwenu, mkiongozwa na Lema. Acheni ufala.

Sharaut kwa Halima na wanawake 18!
Kuzubaa uuwawe,urubuniwe kwa nguvu,familia yako iwekwe hatarini na kudhalilishwa utu wako ndiyo tafsiri yako ya ushujaa?Merde!
 
Leo nikiperuzi mitandaoni, nimeona taarifa ya aliekuwa mbunge wa Arusha mjini, bwana God bless Lema akisema Ile dhana inayojengwa kwamba wao walikimbilia nje ya nchi mwenyekiti Mbowe akabaki sio ya kweli...amesema mwenyekiti Mbowe pia alikimbilia Dubai...

Maana yake, wanaume wote mlikimbilia ughaibuni mkamwacha Halima Mdee hapa peke yake. Hivi, katika mazingira hayo, mlitaka Halima Mdee afanyeje?

Leo nimemwelewa Halima. Alichofanya ilikuwa lazima afanye ili hata basi upinzani ubakie. Kama asingefanya hivyo, chama kingekufa. Halima ni shujaa. Wanaume mmekimbia, yeye akabaki na wanawake wenzake.

Maamuzi aliyofanya yalikuwa sahihi kabisa, sasa nimemwelewa. Wanaume wote wamekimbia, mwanamke ni dhaifu ameachwa peke yake... mlitaka afanyeje?

Halafu bila haya na madevu yenu, mnamwita Halima msaliti, na wale wanawake mnawaita Covid-19, wakati sasa hivi mnagombania ruzuku zinazotokana nao... aibu kwenu, mkiongozwa na Lema. Acheni ufala.

Sharaut kwa Halima na wanawake 18!
Shujaa ni Mbowe, Mwamba asiyetikisika. Pamoja na kusingiziwa ugaidi,kufilisiwa uchumi wake Kwa sababu ya kuitetea Chadema bado kasimama.
 
Back
Top Bottom