Huna Kodi unayolipa muda wote unachat hapa JF unafanya kz saa ngapi mpaka ulipe kodiKinachonifanya nifuatilie siasa ni maumivu ya kodi ninayolipa.
Ndiyo maana ninakuomba wewe pesa ya chakula.Huna Kodi unayolipa muda wote unachat hapa JF unafanya kz saa ngapi mpaka ulipe kodi
Huu mchezo wa hawa wabunge unasababisha watu kudemka mitandaoni. Wanakuwa declared na Baraza kuu kuwa wamefukuzwa na kama sikosei na mkutano mkuu baada ya kuchakata rufaa zao. Ingawa mimi si mwana sheria ula nijuavyo (naweza kusahihishwa) utaratibu ni kama wamekata rufaa wanaendelea kuwa wabunge hadi hivyo vikao vikao vyao vya kikatiba vitakapo toa maamuzi ya kuthibitisha au kubatilisha maamuzi ya vikao vya chini. Sasa ni lini hivyo vikao vimekaa na kutolea maamuzi rufaa zao? Kama havijakaa kwanini havikai kutoa maamuzi halafu tuone kama hawa wabunge wataendelea kuwa bungeni baada ya maamuzi ndo tuhoji?. Kweli hatudemki mitandoni tu wakati wnye chama wakitucheck kwa pembeni?Kinachonifanya nifuatilie siasa ni maumivu ya kodi ninayolipa.
Hakuna kitisho, aende akapokelewe Kwa shangwe na Bawacha na Bavicha, Kwa uwakilishi wake mahiri WA chama!Hakuna anayemtishia,yeye aende,si wakala wa chama,anaogopa nini?
Aje kufanya nini? hata kama ni mimi nisinge kuja. Yani aache PESA aje kwenye makelele.Ajitokeze kwenye kesi ya Mbowe huyu wakala wa chama,aone wafuasi wa hicho chama watamfanya nini.
Uangalie tu eti Tulia kapata asilimia 100, asilimia ambazo hata Mwenyezi Mungu hawezi kuzipata, maana mpinzani shetani yupo. Sasa Hawa CCM asilimia mia wanazipataje?Ila CCM lakini dah, kuna wakati unapata hasira sana ukiwaza siasa zao unafika wakati unaamua ufanye yako tu.
Unaweza kujikuta unapata hasira unaamua kuvaa mabomu uwalipue wote .
Asilimia mia hata Mwenyezi Mungu hawezi kupata. Mwenyezi Mungu alisema usiibe, shetani anasema iba. CCM asilimia mia wanazipataje?Spika mpya kura [emoji817]% atawagusaje?
Sijamsikia mtu akibembeleza wakae kimya. Chama chao cha zamani ndicho kilichomwandikia Spika aliyepita kumtaka aweke wazi utaratibu uliofuatwa mpaka hawa kuapishwa. Kwenye hili watakao umbuka ni wale walio wakingia kifua bila kujali Katiba inasemaje.Hiyo kauli imefunga mjadala.
Watu wasilazimishe sana hao kina mama wakafunguka maana kuna watu wataaibika.
Mashabiki wa Chadema mkubaliane tu na hali tuendelee na maisha.
Anaujua ukweliNini kimemsibu hadi kuandika hayo! Ana wasiwasi wa ubunge wao!!!
Mambo ya aibuSijamsikia mtu akibembeleza wakae kimya. Chama chao cha zamani ndicho kilichomwandikia Spika aliyepita kumtaka aweke wazi utaratibu uliofuatwa mpaka hawa kuapishwa. Kwenye hili watakao umbuka ni wale walio wakingia kifua bila kujali Katiba inasemaje.
Amandla...
Kwani ulitaka au ulitegemea asemeje? Mfumo ambao uliwapeleka pale bado uko vilevile pamoja na kumeguka wakuu wawili wa mihimili.
Darmpya Blog
@darmpya_
· 17h
"Siamini kama nafasi zetu hapa bungeni ziko hatarini kwa sababu ya mabadiliko ya Spika,hatukuja hapa bungeni kwa bahati mbaya,sisi ni wabunge,tumeapa,ni wawakilishi wa chama, hivyo tunaendelea na kazi zetu kama kawaida"@halimamdee #BUNGENILEO
View attachment 2105323