upupu255
Senior Member
- Sep 4, 2024
- 119
- 144
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma Halima White Zuberi amesema uchaguzi mkuu wa mwaka huu mamlaka yapo kwa wananchi kwakuwa watachagua viongozi bora wanaowataka.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Zuberi ameyasema hayo Jumatano Februari 19, 2025 jijini Dodoma wakati akifungua mafunzo kwa Watendaji Kata na Makatibu Tawi wa Mkoa wa Dodoma.
Amesema utaratibu uliowekwa na chama hicho ni mzuri kwakuwa unatoa mamlaka kwa wananchi kuchagua kiongozi anayewafaa.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Zuberi ameyasema hayo Jumatano Februari 19, 2025 jijini Dodoma wakati akifungua mafunzo kwa Watendaji Kata na Makatibu Tawi wa Mkoa wa Dodoma.
Amesema utaratibu uliowekwa na chama hicho ni mzuri kwakuwa unatoa mamlaka kwa wananchi kuchagua kiongozi anayewafaa.