Hallo Mbinguni, Nataka gari

Haina tofauti na ile mchumba unataka nini mchumba... nataka hela...😁 dunia ya hadaa hii..😁
Wacha tu tuendelee kujifariji na kufarijika huku tukifarijiana sisi kwa sisi
 
Kabla huja comment chochote tega sikio kwenye hii audio clip niliyo attach.
Mwimbaji anaimba na mchungaji anafurahi kinoma as long as watu wanarukaruka. Ndo tulipofikia huku sasa acha tuendelee kuona mengi.
 
Mwimbaji anaimba na mchungaji anafurahi kinoma as long as watu wanarukaruka. Ndo tulipofikia huku sasa acha tuendelee kuona mengi.
Hallo Mbinguni, nataka nishinde super jackpot ya sportpesa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…