welcome to the house
jukwaa letu halitaki majungu,hasira wa majibu yasio na tija
ukiudhiwa unaweza kukaa kimya la sivo utafungiwa fasta
heshimu maoni ya watu kosoa kwa lugha fasaha na usikurupuke kuleta mada bila ushahidi wa kutosha.
Kusema ukweli sijasoma, nilichukulia easy kwamba ni kujiheshimu tuu kwenye posts zangu na za wengine. Nitazipitia.
Mimi nilikuwa msomaji kwa miaka mingi sasa nimeamua kuwa mchangiaji.