Hallo

AK47 TRIGER

Member
Joined
Feb 27, 2013
Posts
57
Reaction score
8
Naitwa AK47 nina karibia JF

Difine jina langu utanijua mimi nikoje
 
Karibu sana JF...
Huku hatujali unaitwa nani au unatoka wapi, thamani yako humu ndani ni namna gani unavyotumia ubongo wako.
JF-Home of Great Thinkers!!!!
 
Kuna mitaa mingi sana kwenye jamii hii ila usije kutembelea Mtaa wa Wajasiriamali, lazima utatufanya mbaya na AK47 yako! Karibu mgeni wetu!! Unakunywa kinywaji gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…