Halmashauri punguzeni dhuluma kwakuwapatia haki zao zote waalimu

Mgumuink

Member
Joined
Jun 17, 2013
Posts
70
Reaction score
8
Jambo hili kiukweli linawakatisha tamaa sana waalimu hawa waliosahaulika toka nchi hii imepata uhuru.
Awali ilitangazwa kwamba tayari zimeshafika pesa zote za kujikimu za waalimu katika halmashauri husika kwa muda wote wa siku saba, sasa iweje mseme pesa zilizoponi nusu???
Hembu tusaidiane wakuu...
 
Duuuhhhhh... Imetukuta na sis Kilosa hiyo.. Eti serikali imetuma hela nusu.. Halafu tunahisi tungestahili kupokea 45000 per day ila tunapewa 35000.
 
HATA TARIME MJI WAMEPEWA NUSU. Kumbe kama walimu wangeajiriwa mwezi wa pili wasingelamba hata buku ya kujikimu. Kama wamecheleweshewa ajira kisha wakapewa pesa nusu je zingetoka on time wangepata ngapi? Serikali ilitamba kwamba wametuma pesa za siku saba kwa wakurugenzi nchini kumbe mbwembwe na siasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…