Majitha
Member
- Jan 4, 2016
- 17
- 8
Imenishangaza sana, niko hapa Bunda (Mkoani Mara) nina biashara yangu, jana nilienda Ofisi ya Halmashauri ya Mji wa Bunda ili kufanyiwa hesabu nilipe mapato na ushuru wa hotel (hotel levy), nikaambiwa wako kikaoni, mbali na kusubiri for 5 hours.
Baadaye nikaambiwa 'Tunaomba tu urudi kesho', leo nimeenda tena nimekuta Ofisi hiyo ya Serikali imefungwa na hakuna mtumishi hata mmoja, nikaambiwa na mlinzi njoo tena kesho.
Kinachonishangaza ni kuwa kwanini asibakishwe hata mtumishi mmoja wa kuwahudumia wananchi? Ofisi ya Serikali inafungwaje wakati wa saa za kazi na Wananchi wanakuletea mapato ya ushuru.
Hili linafikirisha sana, ninaomba watumishi waliopewa dhamana wajipime na kujitafakari kama wanaweza kuaminiwa kuendelea kukaa kwenye Ofisi za Serikali bila kuwatumikia wananchi.
Baadaye nikaambiwa 'Tunaomba tu urudi kesho', leo nimeenda tena nimekuta Ofisi hiyo ya Serikali imefungwa na hakuna mtumishi hata mmoja, nikaambiwa na mlinzi njoo tena kesho.
Kinachonishangaza ni kuwa kwanini asibakishwe hata mtumishi mmoja wa kuwahudumia wananchi? Ofisi ya Serikali inafungwaje wakati wa saa za kazi na Wananchi wanakuletea mapato ya ushuru.
Hili linafikirisha sana, ninaomba watumishi waliopewa dhamana wajipime na kujitafakari kama wanaweza kuaminiwa kuendelea kukaa kwenye Ofisi za Serikali bila kuwatumikia wananchi.