A
Anonymous
Guest
Mimi ni mwajiriwa wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni wananikata TALGWU tokea nimeajiriwa bila kushirikishwa na bila kuandika jina la kujiunga na bila kutia sahihi yangu sehemu yoyote
Nimefika Halmashauri kwa Maafisa Utumishi majibu yao sio mazuri wananiambia kuwa ni lazima kujiunga na hiki chama cha TALGWU wakati sio lazima kujiunga, na ukitaka wakutoe wanakataa wanasema ni lazima
Ajira mpya wamekatwa TALGWU bila idhini yao na pia hawajasign form yoyote ile wakiwafuata afisa utumishi wanajibiwa majibu ya ovyo kuwa wasumbufu
Tunaomba TAKUKURU iingilie kati sababu pesa zinakatwa bila idhini ya waajiriwa wa KIGAMBONI.
#TAKUKURU #UWAJIBIKAJI #KIGAMBONI #TALGWU #AFISAUTUMISHI #WIZI #RUSHWA #UOVU
Nimefika Halmashauri kwa Maafisa Utumishi majibu yao sio mazuri wananiambia kuwa ni lazima kujiunga na hiki chama cha TALGWU wakati sio lazima kujiunga, na ukitaka wakutoe wanakataa wanasema ni lazima
Ajira mpya wamekatwa TALGWU bila idhini yao na pia hawajasign form yoyote ile wakiwafuata afisa utumishi wanajibiwa majibu ya ovyo kuwa wasumbufu
Tunaomba TAKUKURU iingilie kati sababu pesa zinakatwa bila idhini ya waajiriwa wa KIGAMBONI.
#TAKUKURU #UWAJIBIKAJI #KIGAMBONI #TALGWU #AFISAUTUMISHI #WIZI #RUSHWA #UOVU