Halmashauri ya Mji Kibaha kwa ufisadi inaongoza

dedam

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2011
Posts
845
Reaction score
166
Hii halmashauri ndio halmshauri inayoongoza kwa ufisadi hususani katika elimu, halmashauri hii wamechangsha tshv3000 kwa kila mwanafunzi wa serikal na sh 18000 kwa kila mwanafuzi wa shule binafsi kwa ajili ya mtihani wa darasa la saba mock wilaya lakin cha ajab wasimamiZ wamelipwa 10000 kwa siku kwa mda wa siku 2 na wasahishaji wamelipwa 10000 kwa siku kw mda wavsiku 3. Pesa zote wamepeleka wap
 
jaribu kuedit maandishi.hii serikali ya sasa sehemu yeyote yenye pesa lazima kuwe na uwizi na hilo na idara ya elimu kuchangisha fedha kwa hela za mock darasa la saba na malipo ya walimu kuwa elfu kumi hilo na kudharau taalum ya ualimu je wakigoma kusimamia na kusahisha mpka waongezewe posho hizo.taaluma ya ualimu umedhalauliwa sana na serikali ya magamba na haya ndio matokeo hakuna mfuatiliaji zaidi kuangalia wapi kuna pesa wapige tuu
 
pesa wamekula ila walimu bado sana kwa nini msingegoma kusimamia na kusahihisha? tatizo mna njaa sana hongera DEO.
 
Ni sahihi walimu tumekuwa dhaifu kupindukia deo anafanya atakacho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…