Pre GE2025 Halmashauri ya Nachingwea yakabidhi Mifuko 91 ya Saruji kwa Mfiwa wa ajali ya Moto

Pre GE2025 Halmashauri ya Nachingwea yakabidhi Mifuko 91 ya Saruji kwa Mfiwa wa ajali ya Moto

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

upupu255

Senior Member
Joined
Sep 4, 2024
Posts
119
Reaction score
144
Ofisi ya mkurugenzi halmshauri ya wilaya ya Nachingwea februari 26,2025 imekabidhi mifuko ya saruji ipatayo 91 kwa Zuhura Mshana aliyepoteza watoto wawili na wajukuu wawili katika ajali ya moto iliyotokea febuari 15 mwaka huu wilayani Nachingwea mkoa Lindi.

1740660700541.png
Akikabidhi saruji hiyo kaimu mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya hiyo Dkt.Ramadhan Mahiga amesema kuwa ofisi ya mkurugenzi imeguswa na tukio hilo na imetoa saruji hiyo ikiwa sehemu ya mchango katika hatua za kumjengea nyumba mpya bi zuhura Mashana.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kwa upande wa Zuhura Mshana ameishukuru ofisi ya mkurugenzi kwa msaada huo na uongozi wote wa serikali kwa moyo wanaonesha kwake.

Nae wakati makona mwakilishi kutoka kundi la Nachingwea Yetu ameishukuru ofisi ya mkurugenzi kwa namna alivyoshiriki katita zoezi hilo.

1740660753238.png
1740660753321.png

1740660812077.png
 
Mkurugenzi wa halmashauri ya Nachingwea ajengewe sanamu.

Moto ni janga la kibinadamu miongoni mwa majanga.

Kuna janga la Magonjwa dume yasiyoambukiza.

Ktk pitapita zangu Muhimbili wagonjwa wengi wanashindwa kumudu gharama za matibabu hayo wanatoka nje ya dsm na moja ya halmashauri hapa nchini. Magonjwa hayo ni pamoja na kansa, figo, ini, moyo nk. Kuna haja kwa halmashauri zetu kuwalipia wagonjwa wote wanaotaka ktk moja ya halmashauri nchini. Magonjwa haya ni majangwa kwani inasababisha familia kuwa masikini.

Binafsi yamenikuta.
Ofisi ya mkurugenzi halmshauri ya wilaya ya Nachingwea februari 26,2025 imekabidhi mifuko ya saruji ipatayo 91 kwa Zuhura Mshana aliyepoteza watoto wawili na wajukuu wawili katika ajali ya moto iliyotokea febuari 15 mwaka huu wilayani Nachingwea mkoa Lindi.

Akikabidhi saruji hiyo kaimu mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya hiyo Dkt.Ramadhan Mahiga amesema kuwa ofisi ya mkurugenzi imeguswa na tukio hilo na imetoa saruji hiyo ikiwa sehemu ya mchango katika hatua za kumjengea nyumba mpya bi zuhura Mashana.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kwa upande wa Zuhura Mshana ameishukuru ofisi ya mkurugenzi kwa msaada huo na uongozi wote wa serikali kwa moyo wanaonesha kwake.

Nae wakati makona mwakilishi kutoka kundi la Nachingwea Yetu ameishukuru ofisi ya mkurugenzi kwa namna alivyoshiriki katita zoezi hilo.

 
Back
Top Bottom