A
Anonymous
Guest
Walimu wakifuatilia kwa maafisa wa idara ya Elimu wanaambiwa hela zipo tutawaingizia kwenye akaunti lakini mpaka sasa ukimya umetawala na hatima ya malipo hayo haijulikani.
Hali hii imekuwa kikwazo kikubwa katika utendaji kazi.
Tunaomba mamlaka za juu zitusaidie kufuatilia hili
Hali hii imekuwa kikwazo kikubwa katika utendaji kazi.
Tunaomba mamlaka za juu zitusaidie kufuatilia hili