DOKEZO Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa kuna mazingira tata, upandishwaji vyeo unafanyika kwa kujuana

DOKEZO Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa kuna mazingira tata, upandishwaji vyeo unafanyika kwa kujuana

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

KwetuKwanza

Member
Joined
Mar 13, 2023
Posts
82
Reaction score
150
Mimi ni Mtumishi wa Serikali hapa Mpwapwa Mkoani Dodoma, kero moja kubwa ni kuwa kuna urasimu wa upandishwaji wa Madaraja ya Mishahara na pia baadhi ya wenzetu lugha mbaya wanapokuwa katika majukumu yao.

Kinachouma zaidi ni kuwa kuna watushi wana miaka zaidi ya kumi hawajapandishwa licha ya kuwa utendaji kazi wao ni mzuri, viongozi wa Mpwapwa wanapoulizwa wanasema tatizo lipo Utumishi Makao Makuu wakati uhalisia ni kuwa tunajua baadhi ya Watu walioshika nafasi zenye mamlaka ndio sababu.

Gharama za maisha zinazidi kubadilika kwa kupanda kila mwaka lakini pato letu limebaki vilevile wengi wetu, hiyo inatutoa katika mstari wa kutimiza majukumu yetu kwa ufanisi.

Viongozi wetu tunaowauliza kulikoni wanadai wameshatuma barua katika ngazi za juu lakini tatizo lipo katika utekelezaji wa mapendekezo yaliyomo kwenye barua.

Kutokana na hali hiyo, kinachoendelea kinatengeneza mazingira ya rushwa na ile kujuana, kwa ufupi ni upendeleo.

Nimeamua kutumia nafasi hii ya JF kwa kuwa Watu wanaogopa kusema kwa kuwa ukitumia nguvu nyingi kusema au kuhoji unaonekana ni Mwanasiasa au mwanaharakati.
 
Mimi ni Mtumishi wa Serikali hapa Mpwapwa Mkoani Dodoma, kero moja kubwa ni kuwa kuna urasimu wa upandishwaji wa Madaraja ya Mishahara na pia baadhi ya wwnzetu lugha mbaya wanapokuwa katika majukumu yao.

Kinachouma zaidi ni kuwa kuna watushi wana miaka zaidi ya kumi hawajapandishwa licha ya kuwa utendaji kazi wao ni mzuri, viongozi wa Mpwapwa wanapoulizwa wanasema tatizo lipo Utumishi Makao Makuu wakati uhalisia ni kuwa tunajua baadhi ya Watu walioshika nafasi zenye mamlaka ndio sababu.

Gharama za maisha zinazidi kubadilika kwa kupanda kila mwaka lakini pato letu limebaki vilevile wengi wetu, hiyo inatutoa katika mstari wa kutimiza majukumu yetu kwa ufanisi.

Viongozi wetu tunaowauliza kulikoni wanadai wameshatuma barua katika ngazi za juu lakini tatizo lipo katika utekelezaji wa mapendekezo yaliyomo kwenye barua.

Kutokana na hali hiyo, kinachoendelea kinatengeneza mazingira ya rushwa na ile kujuana, kwa ufupi ni upendeleo.

Nimeamua kutumia nafasi hii ya JF kwa kuwa Watu wanaogopa kusema kwa kuwa ukitumia nguvu nyingi kusema au kuhoji unaonekana ni Mwanasiasa au mwanaharakati.
Tumesha kujua wewe ni nani, tilikuambia ujiunge na chama ukashupaza shingo haya huo msimamo wako ukupe cheo.
 
Mimi ni Mtumishi wa Serikali hapa Mpwapwa Mkoani Dodoma, kero moja kubwa ni kuwa kuna urasimu wa upandishwaji wa Madaraja ya Mishahara na pia baadhi ya wwnzetu lugha mbaya wanapokuwa katika majukumu yao.

Kinachouma zaidi ni kuwa kuna watushi wana miaka zaidi ya kumi hawajapandishwa licha ya kuwa utendaji kazi wao ni mzuri, viongozi wa Mpwapwa wanapoulizwa wanasema tatizo lipo Utumishi Makao Makuu wakati uhalisia ni kuwa tunajua baadhi ya Watu walioshika nafasi zenye mamlaka ndio sababu.

Gharama za maisha zinazidi kubadilika kwa kupanda kila mwaka lakini pato letu limebaki vilevile wengi wetu, hiyo inatutoa katika mstari wa kutimiza majukumu yetu kwa ufanisi.

Viongozi wetu tunaowauliza kulikoni wanadai wameshatuma barua katika ngazi za juu lakini tatizo lipo katika utekelezaji wa mapendekezo yaliyomo kwenye barua.

Kutokana na hali hiyo, kinachoendelea kinatengeneza mazingira ya rushwa na ile kujuana, kwa ufupi ni upendeleo.

Nimeamua kutumia nafasi hii ya JF kwa kuwa Watu wanaogopa kusema kwa kuwa ukitumia nguvu nyingi kusema au kuhoji unaonekana ni Mwanasiasa au mwanaharakati.
Hakuna sehemu vitu vinapangwa kienyeji kama local government. Hata kesi za kuachisha kazi kwa kuoneana zimekidhiri sana local government.
Masuala ya utumishi mara 100 yawe chini ya taasisi nyingine tu
 
Tumesha kujua wewe ni nani, tilikuambia ujiunge na chama ukashupaza shingo haya huo msimamo wako ukupe cheo.
Chama kipi, TALGWU ambao nao ni kupe WA mishahara ya watumishi, chaguzi zao eti nao wanagawa rushwa kama vyama vya siasa, watanzania tuna laana kabisa!
 
Urasimu maana yake ni kufuata kanuni sahihi za kiutawala.
 
Maafisa utumishi wa Halmashauri hujiona ni Miungu watu, Wana roho za kukunja sana.
 
Maisha ya watumishi ni magumu sana hata wategemezi tunapata wakati mgumu sana kuwaeleza kuwa hatuna hela wakati tuna kazi
 
Sidhani kama kuna mtumishi wa umma wa Halmashauri nchini kuanzia nurse hadi mwalimu mwenye imani na serikali. Hakuna
 
Back
Top Bottom