Halmashauri ya Wilaya ya Musoma Yatoa Mikopo ya Thamani ya TZS Milioni Mia Nne (Milioni 400)

Halmashauri ya Wilaya ya Musoma Yatoa Mikopo ya Thamani ya TZS Milioni Mia Nne (Milioni 400)

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

HALMASHAURI YA WILAYA YA MUSOMA YATOA MIKOPO YA THAMANI YA SHILINGI MILIONI MIA NNE (Tsh 400m)

Jana, Ijumaa, tarehe 3 Jan 2025, Halmashauri ya Wilaya ya Musoma (Musoma DC) ilitoa mikopo isiyokuwa na riba ya kiasi cha Tsh Milioni 400 (Tsh 400m) kwa vikundi vya Wanawake, Vijana na Watu wenye ulemavu.

Mgeni Rasmi kwenye tukio hilo muhimu sana alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Musoma (DC), Mhe Juma Issa Chikoka

Viongozi mbalimbali, akiwemo Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Muhongo, walihudhuria hafla hiyo.

CLIP/VIDEO iliyoambatanishwa hapa: Tafadhali sikiliza ushauri na nasaa mbalimbali zilizotolewa kwenye hafla hiyo iliyofanyika Kijijini Suguti, Makao Makuu ya Halmashauri yetu.

Ofisi ya Mbunge, Jimbo la Musoma Vijijini
www.musomavijijini.or.tz

P. O. Box 6, Musoma

Tarehe: Jumamosi, 4 Jan 2025
 

Attachments

  • WhatsApp Video 2025-01-04 at 14.44.30.mp4
    38.2 MB
Wakati wa Uchaguzi huu, bila shaka walamba mikopo ni makada
 
Back
Top Bottom