Hawa mawakala wanaoingia mkataba na Halmashauri za Wilaya kukusanya mapato wanawapunja sana hizi Halmashauri na Halmashauri zinatakiwa zijitathmini sana.
Nitoe mfano ulio hai hapa Mwanza. kuhusu ushuru wa madini.
(1) Kwa wastani kwa siku kuna malori 50 yanayosomba mchanga.
(2) Kila lori kwa siku inafanya tripu 4
(3) Hivyo kwa siku kwa malori 50 ni tripu 200.
(4) Kwa tripu moja kila lori linalipa Tshs.10,500 japo ni ghali sana.
(5) Kwa siku fedha inayolipawa kwa wakala ni Tripu tripu 200 x 10,500 = T.shs.2,100,000.
(6) Kwa mwezi fedha anayokusana wakala ni T.shs. 2,100,000 x 30 = T.shs.63,000,000.
(6) Fedha nayokusanya wakala kwa mwaka ni T.shs. 63,000,000 x 12 = T.shs.756,000,000.
Hiki ni chanzo kimoja tu. Sijui wakala anawasilisha kiasi gani kwenye Halmashauri. Fanyeni utafiti kwa kweli kutumia mawakala kunawapunja sana Halmashauri kimapato.
Nitoe mfano ulio hai hapa Mwanza. kuhusu ushuru wa madini.
(1) Kwa wastani kwa siku kuna malori 50 yanayosomba mchanga.
(2) Kila lori kwa siku inafanya tripu 4
(3) Hivyo kwa siku kwa malori 50 ni tripu 200.
(4) Kwa tripu moja kila lori linalipa Tshs.10,500 japo ni ghali sana.
(5) Kwa siku fedha inayolipawa kwa wakala ni Tripu tripu 200 x 10,500 = T.shs.2,100,000.
(6) Kwa mwezi fedha anayokusana wakala ni T.shs. 2,100,000 x 30 = T.shs.63,000,000.
(6) Fedha nayokusanya wakala kwa mwaka ni T.shs. 63,000,000 x 12 = T.shs.756,000,000.
Hiki ni chanzo kimoja tu. Sijui wakala anawasilisha kiasi gani kwenye Halmashauri. Fanyeni utafiti kwa kweli kutumia mawakala kunawapunja sana Halmashauri kimapato.