tinna cute
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 4,630
- 2,308
du!mbona unanitisha!!kumbe una wako humu humu!!nitajie basi shost nisimparamie!
Ha ha ha haaah!! Kweli nimeamini nina damu ya kunguni.
Ongea vizuri na huyo tinna cute arekebishe maneno yasomeke uzuri...:smile-big:
Jamani nimekuumiza sorry.
Sijasema vibaya na protect what is mine.
we tina usiseme hivyo ...hebu muweke sawa yule bibie basi umtoe uwoga
Njoo kwangu baby wa kitaa mimi nipo single...ina maana wageni ndo hatuna letu humu!!mbona naona kama Katavi ananimezea mate vile au!!!
mmmh!tangaza ndoa basi...nitaeleweka ukinitangazia ndo walahNjoo kwangu baby wa kitaa mimi nipo single...
Hilo tu wala usihofummmh!tangaza ndoa basi...nitaeleweka ukinitangazia ndo walah