halooooo!

cheusimangala

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2010
Posts
2,585
Reaction score
498
wazee shikamooni!!,wadogo zangu hamjambo!!,rika langu vipi mambo zenu!!

naombeni mnipokee ndugu yenu ktk familia tuendeleze gurudumu la JF.
ASANTENI.
 
Hiyo sijui ndo Avatar ni picha yako au umepaste toka kwa wengine. Karibu ila tafadhali vigezo na masharti yazingatiwe!
 
wazee shikamooni!!,wadogo zangu hamjambo!!,rika langu vipi mambo zenu!!

naombeni mnipokee ndugu yenu ktk familia tuendeleze gurudumu la JF.
ASANTENI.

shosti karibu sana ndani ya nyumba.......utatumia kinywaji gani?
 
shosti karibu sana ndani ya nyumba.......utatumia kinywaji gani?
asante shosti mie hata togwa kama unalo itatosha tu shosti!haya nipe habari za hapa!wote wazima!
 
Hiyo sijui ndo Avatar ni picha yako au umepaste toka kwa wengine. Karibu ila tafadhali vigezo na masharti yazingatiwe!
sawa ndugu naahidi kufuata masharti na vigezo vyote!
 
hiyo safi best air condition ya mungu jmosi inapita saafi kabisa.
 
cheusimangalaaaa dah karibu jamvini hope utachangia na uhai wa jamvi hili
 
kabla ya hapa,ulipita kwa jirani yupi au ndo nyumba hii hii umeiona!

karibu
break ya kwanza ilikua hapa halafu nikaenda kucheki na majirani kidogo.asante kwa ukaribisho.
 
Karibu dear, ila hako kapicha mh, teh teh!!!sijui ni halisi au ndo mambo ya kucopy na kupaste.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…