Mwanaume unasema neno refu ka unachamba.Hodi humu ndani natumaini nitajifunza yaliyo mengi
Ushajua kum-tag mpaka ephen?ephen_ unacheka nini?
Tuliza wenge mzee..!Ushajua kum-tag mpaka ephen?
Au wewe ni mshamba? Au wewe ndiye ephen mwenyewe?
Unapenda kucheka cheka ka chiziTuliza wenge mzee..!
Chizi mwenyewe aisee!Unapenda kucheka cheka ka chizi
Nani kamfata mwenzie?Chizi mwenyewe aisee!
Ulisema nisikufatefate basi na wewe fanya hivyo.
Mzee wa hovyo🚮Nani kamfata mwenzie?
Mimi nipo zangu naperuzi. Sijakutag na sijakuita.
Kihereherr kimekuleta kuja kunijibu .
Pita hivi
TAKATAKAMzee wa hovyo🚮
Mzee unazingua unajua!🤔
🤣🤣🤣Wazee wenzako wapo huko nyuzi za maana, wewe unazurula huku unaongea pumba
Usinitajetaje tena
Gdrumz tegemea mazuri ila usiongezeke kwenye idadi ya chawa sawa?Hodi humu ndani natumaini nitajifunza yaliyo mengi