Halotel hamuwezi kufidia hasara (kama mmepata) kwa mtindo huu

Halotel hamuwezi kufidia hasara (kama mmepata) kwa mtindo huu

The MoNA

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2014
Posts
4,168
Reaction score
10,184
Ndugu wana Jamuhuri ya Muungano,

Kwa mnaotumia halotel limewakuta hili?

Wiki iliyopita mpaka hii tuliyopo kuna uhuni halotel wanaufanya. Unajiunga GB 1 ndani ya dakika 30-60 unapata na huu ujumbe;

Mpendwa mteja! Umemaliza kifurushi chako cha intaneti. Kuendelea kutumia intaneti jiunge tena kifurushi kwa kupiga *148*66#. Asante!

Hapo haujaingia instagram wala youtube ni hapa hapa JF na Whatsapp ambapo kote hamna auto download na hata video za whatsapp ndan ya dakika hizo haziwezi kumaliza mb zote. Nina matumizi madogo sana ya mb kwa kutwa.

Siku za nyuma GB 2 naweza kaa nazo hadi siku 3 ila kwa siku kadhaa hizi lisaa likipita ni kituko cha huo ujumbe.

Juzi ndio kituko mpaka nikawapigia simu mdada huyo akaniambia zima simu kisha uwashe ina maana wanajua wanachokifanya.

Mchana nilijiunga GB Saa 13:34 saa 14:48 kifurushi kimeisha na nilikua nina google tu. Sikuingia youtube wala instagram.

Hata ukijiunga vya 5000 utapeli ni huu huu.

Nafungia line yao kwa muda naenda TTCL huko vida tigo airtel nako majanga tu.

Sijui kama kuna mwingine analipitia hili kutoka Halotel?

Screenshot_20210615-005333.jpg
 
Bro huwezi kuibiwa gb hilo haliwezekani
Angalia matumizi ya kifaa chako
Kwa nini wasiweze kaka?

Natumia S6 galaxy bro. Mf tu leo nimejiunga saa 23:39 gb 1 saa 00:16 napewa ujumbe kifurushi chako kimeisha.

Nilikua nachat group moja tu whatsapp kuhusu

Italy vs Switzerland ndio hapo kifurushi kikaisha.

Sasa simu yangu ina shida gani?

Na nilipowapigia kuwaeleza hili wakasema zima usubiri dakika tano uwashe walimaanisha nini?
 
Bro huwezi kuibiwa gb hilo haliwezekani
Angalia matumizi ya kifaa chako
Kwa nini wasiweze kaka?

Natumia S6 galaxy bro. Mf tu leo nimejiunga saa 23:39 gb 1 saa 00:16 napewa ujumbe kifurushi chako kimeisha.

Nilikua nachat group moja tu whatsapp kuhusu

Italy vs Switzerland ndio hapo kifurushi kikaisha.

Sasa simu yangu ina shida gani?

Na nilipowapigia kuwaeleza hili wakasema zima usubiri dakika tano uwashe walimaanisha nini?
Mimi pia natumia hiki kifurushi kinanipeleka hadi wiki inaisha na mb kubaki(kuexpire).

Natumia kuperuzi JF, WhatsApp, Telegram(huwa nadownload highlights za magoli kwenye hii michuano inayoendelea), Sofascore(kufuatilia updates za mechi), Google (hasa LinkedIn), nadownload highlights za malegendary wa Mpira YouTube (Jana nimedownload video kama 3 hivi za Oliver Kahn, Instagram(ingawa sio sana), Jana(juzi) nilimteza mke wangu maana yeye aliishia MB zake.

Hapa nimeangalia salio zipo kama MB 600+ hivi, zinatakiwa zinipeleke hadi tarehe 21

Mkuu jaribu kuangalia kifaa chako huenda kinakuhujumu katika ulaji wa hizo MB.
 
Mimi pia natumia hiki kifurushi kinanipeleka hadi wiki inaisha na mb kubaki(kuexpire).

Natumia kuperuzi JF, WhatsApp, Telegram(huwa nadownload highlights za magoli kwenye hii michuano inayoendelea), Sofascore(kufuatilia updates za mechi), Google (hasa LinkedIn), nadownload highlights za malegendary wa Mpira YouTube (Jana nimedownload video kama 3 hivi za Oliver Kahn, Instagram(ingawa sio sana), Jana(juzi) nilimteza mke wangu maana yeye aliishia MB zake.

Hapa nimeangalia salio zipo kama MB 600+ hivi, zinatakiwa zinipeleke hadi tarehe 21

Mkuu jaribu kuangalia kifaa chako huenda kinakuhujumu katika ulaji wa hizo MB.
Mf. Niangalie wapi??
 
Mm nikiona mtu anasema Ameibiwa mbs huwa naona ndio kwanza anajifunza kutumia vifaa vya internet. Fuatilia vizuri vifaa vyako na matumizi yake. sio lazima uingie instagram ndio bandle liishe.

Narudia fuatilia vifaa vyako. hakuna mtu wa kukuibia hizo mbs zako
 
Kwa nini wasiweze kaka?

Natumia S6 galaxy bro. Mf tu leo nimejiunga saa 23:39 gb 1 saa 00:16 napewa ujumbe kifurushi chako kimeisha.

Nilikua nachat group moja tu whatsapp kuhusu
Italy vs Switzerland ndio hapo kifurushi kikaisha.
Sasa simu yangu ina shida gani?
Na nilipowapigia kuwaeleza hili wakasema zima usubiri dakika tano uwashe walimaanisha nini??
Hujaset app zijiupdate?
 
Mimi pia natumia hiki kifurushi kinanipeleka hadi wiki inaisha na mb kubaki(kuexpire).

Natumia kuperuzi JF, WhatsApp, Telegram(huwa nadownload highlights za magoli kwenye hii michuano inayoendelea), Sofascore(kufuatilia updates za mechi), Google (hasa LinkedIn), nadownload highlights za malegendary wa Mpira YouTube (Jana nimedownload video kama 3 hivi za Oliver Kahn, Instagram(ingawa sio sana), Jana(juzi) nilimteza mke wangu maana yeye aliishia MB zake.

Hapa nimeangalia salio zipo kama MB 600+ hivi, zinatakiwa zinipeleke hadi tarehe 21

Mkuu jaribu kuangalia kifaa chako huenda kinakuhujumu katika ulaji wa hizo MB.
Mmmmmmhmn wewe hebu acha kutufix

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Mmmmmmhmn wewe hebu acha kutufix

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Jana(usiku) baada ya kuandika hiyo comment, MB zilikuwa 629.

Baada ya hapo nilienda Instagram nimeperuzi kama nusu saa hivi ndio nikazima data(ilikuwa mida ya saa nane usiku).

Hapa sasahivi nimeangalia salio, MB zipo 585. Nimewasha data saa 2 na nusu asubuhi hii.

Kama ni fix basi ngoja niendelee kuinjoi maisha tu hapa
 
Back
Top Bottom