Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Wadau niaje?
Asee hawa halotel nimejiunga kifurushi cha kupiga German na UK ili niongee na wadau wangu wa huko ila hela wamekata na nikipiga wananiambia namba haipo.
Mnaopigaga hizo nchi hebu nipeni maujafanja maana hata nikipiga customer care yao hawapokei simu.
Sema nini, sisi wabongo tulishaonekana wasssenge na serikali yetu.
Huwezi chukua hela ya mtu hovyo hovyo huko nchi za wenye akili.
Stress Challenger Dr Lizzy Sky Eclat
Asee hawa halotel nimejiunga kifurushi cha kupiga German na UK ili niongee na wadau wangu wa huko ila hela wamekata na nikipiga wananiambia namba haipo.
Mnaopigaga hizo nchi hebu nipeni maujafanja maana hata nikipiga customer care yao hawapokei simu.
Sema nini, sisi wabongo tulishaonekana wasssenge na serikali yetu.
Huwezi chukua hela ya mtu hovyo hovyo huko nchi za wenye akili.
Stress Challenger Dr Lizzy Sky Eclat