Halotel Tanzania jaribuni kuwa na aibu walau. Mnaibia wateja waziwazi kabisa!

Halotel Tanzania jaribuni kuwa na aibu walau. Mnaibia wateja waziwazi kabisa!

I am Groot

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
3,929
Reaction score
10,747
Masikitiko yangu kwa hawa Halotel kwa wanalowafanyia wateja wao sio jambo jema hata kidogo. Nashindwa kuamini mtandao unashindwa kudownload hata app ya 12mb inabaki kuload tu ila cha kushangaza zaidi nashuhudia data zikikimbia bila kuelewa wapi zinaenda na wakati task ndogo kama ya kudownload app (mb 12 ) ni shida.

Kuweni na aibu mnakuwa kama nyoka asiye na kope!

Acheni kuiba.
 
Hawa jamaa, acha kabisa mkuu.
Kuna siku nilijiunga 1gb na kabla hata dk haijesha, jamaa wamemaliza kila kitu na kipindi hakukuwa na hii fix ya 4g, nilipowapigia wananambia nimetumia, nawauliza mtandao wenu una speed ya ku-browse kitu cha 1gb less than a minute??? Wakabaki "umetumia na hatujui umefanyia nini" nikaona isiwe shida, nikakausha kwa vile sina la kufanya.

Hawa jamaa wa mitandao aisee pepo wataiskia tu, sio kwa kutukomesha huku aisee.
 
Hawa jamaa, acha kabisa mkuu.
Kuna siku nilijiunga 1gb na kabla hata dk haijesha, jamaa wamemaliza kila kitu na kipindi hakukuwa na hii fix ya 4g, nilipowapigia wananambia nimetumia, nawauliza mtandao wenu una speed ya ku-browse kitu cha 1gb less than a minute??? Wakabaki "umetumia na hatujui umefanyia nini" nikaona isiwe shida, nikakausha kwa vile sina la kufanya.

Hawa jamaa wa mitandao aisee pepo wataiskia tu, sio kwa kutukomesha huku aisee.
Wapumbavu hawa! Wamenikera sana leo.
 
Mbona mi nashusha mzigo wa 9GB unaenda poa
 
Pengine upo location ambayo netwk mkuu,mbona watu tunashusha mimovies tuu, unatumia smu gan mkuu?? Maana natream chochote ninachotaka ,smu yangu ikichagizwa na Ram ya 8 gb, speed ya kutoshaa
 
Pengine upo location ambayo netwk mkuu,mbona watu tunashusha mimovies tuu, unatumia smu gan mkuu?? Maana natream chochote ninachotaka ,smu yangu ikichagizwa na Ram ya 8 gb, speed ya kutoshaa
Inawezekana labda, lakini sio sababu ya kuchukua data bila matumizi.
 
Pengine upo location ambayo netwk mkuu,mbona watu tunashusha mimovies tuu, unatumia smu gan mkuu?? Maana natream chochote ninachotaka ,smu yangu ikichagizwa na Ram ya 8 gb, speed ya kutoshaa
Bottomline ni kuwa wanalalamikiwa sana! Nadhani wana tatizo kubwa. Mimi natumia lkn sioni tatizo kubwa...
 
Poleno asee, Hii sijui imekaaje...
Mimi hawa jamaa wamejisahau kwangu, Natumia Data za bure week ya pili hii, Nimechea na ku download mavitu mpaka memory inataka ku jaa sasa.
Na speed ni kubwa kabisa.
 
Hata airtel kifurushi cha uni offer sikuhizi imekuwa shida sana wakikupa 1gb kwa wiki wanakwambia 500mb utumie mchana 500mb nyingine utumie usiku.
Shida inakuja ukimaliza mb zako 500 za mchana hizi nyingine 500 za usiku inakuwa shida kuzitumia hauzipati kabisa nafikiri huwa wanaiba hapa.
Kuhusu halotel mimi naona upande wa mb (data) wapo vizuri kwa upande wangu natumia mpaka nasahau tatizo lao kubwa network yao ipo slow sana baadhi ya siku.
 
Halotel ndo mtandao nafuu Kwa sasa , mitandao mingine tutadanganyana Tu , labda na wao waje na package mpya, changamoto ya halotel kwangu ni upande wa txt , ukituma txt nying zinadelay Sana kumfikia mhusika ...
 
Natumia halotel naunga kifurushi Cha wiki internet na speed iko poa kwangu sijaona shida yoyote
 
𝐻𝑎𝑙𝑜𝑡𝑒𝑙 𝑚𝑡𝑎𝑛𝑑𝑎𝑜 𝑏𝑜𝑟𝑎 𝑠𝑎𝑛𝑎 𝑘𝑤𝑎𝑛𝑔𝑢 𝑡𝑎𝑛𝑔𝑢 𝑘𝑎𝑚𝑝𝑢𝑛𝑖 𝑖𝑚𝑒𝑎𝑛𝑧𝑖𝑠ℎ𝑤𝑎 ℎ𝑎𝑤𝑎𝑗𝑎𝑤𝑎ℎ𝑖 𝑘𝑢𝑛𝑖𝑎𝑛𝑔𝑢𝑠ℎ𝑎 𝑘𝑤𝑒𝑛𝑦𝑒 𝑑𝑎𝑡𝑎

𝑈𝑠ℎ𝑎𝑢𝑟𝑖

𝐻𝑖𝑖 𝑚𝑖𝑡𝑎𝑛𝑑𝑎𝑜 𝑦𝑎 𝑠𝑖𝑚𝑢 𝑘𝑢𝑛𝑎 𝑠𝑒ℎ𝑒𝑚𝑢 𝑚𝑡𝑎𝑛𝑑𝑎𝑜 𝑓𝑢𝑙𝑎𝑛𝑖 𝑤𝑎 𝑠𝑖𝑚𝑢 𝑢𝑛𝑎𝑘𝑢𝑤𝑎 𝑣𝑖𝑧𝑢𝑟𝑖 𝑛𝑎 𝑠𝑒ℎ𝑒𝑚𝑢 𝑛𝑦𝑖𝑛𝑔𝑖𝑛𝑒 𝑢𝑛𝑎𝑘𝑢𝑤𝑎 𝑤𝑎 ℎ𝑜𝑣𝑦𝑜,ℎ𝑖𝑣𝑦𝑜 𝑏𝑎𝑠𝑖 𝑡𝑢𝑚𝑖𝑎 𝑙𝑖𝑛𝑒 𝑦𝑎 𝑠𝑖𝑚𝑢 𝑦𝑎 𝑚𝑡𝑎𝑛𝑑𝑎𝑜 ℎ𝑢𝑠𝑖𝑘𝑎 𝑘𝑢𝑙𝑖𝑛𝑔𝑎𝑛𝑎 𝑛𝑎 𝑠𝑒ℎ𝑒𝑚𝑢 𝑢𝑛𝑎𝑦𝑜𝑖𝑠ℎ𝑖 𝑛𝑎 𝑠𝑖𝑜 𝑘𝑢𝑠𝑘𝑖𝑙𝑖𝑧𝑎 𝑚𝑎𝑛𝑒𝑛𝑜 𝑦𝑎 𝑤𝑎𝑡𝑢
 
Back
Top Bottom