Halotel Tanzania jaribuni kuwa na aibu walau. Mnaibia wateja waziwazi kabisa!

I am Groot

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
3,929
Reaction score
10,747
Masikitiko yangu kwa hawa Halotel kwa wanalowafanyia wateja wao sio jambo jema hata kidogo. Nashindwa kuamini mtandao unashindwa kudownload hata app ya 12mb inabaki kuload tu ila cha kushangaza zaidi nashuhudia data zikikimbia bila kuelewa wapi zinaenda na wakati task ndogo kama ya kudownload app (mb 12 ) ni shida.

Kuweni na aibu mnakuwa kama nyoka asiye na kope!

Acheni kuiba.
 
Hawa jamaa, acha kabisa mkuu.
Kuna siku nilijiunga 1gb na kabla hata dk haijesha, jamaa wamemaliza kila kitu na kipindi hakukuwa na hii fix ya 4g, nilipowapigia wananambia nimetumia, nawauliza mtandao wenu una speed ya ku-browse kitu cha 1gb less than a minute??? Wakabaki "umetumia na hatujui umefanyia nini" nikaona isiwe shida, nikakausha kwa vile sina la kufanya.

Hawa jamaa wa mitandao aisee pepo wataiskia tu, sio kwa kutukomesha huku aisee.
 
Wapumbavu hawa! Wamenikera sana leo.
 
Mbona mi nashusha mzigo wa 9GB unaenda poa
 
Pengine upo location ambayo netwk mkuu,mbona watu tunashusha mimovies tuu, unatumia smu gan mkuu?? Maana natream chochote ninachotaka ,smu yangu ikichagizwa na Ram ya 8 gb, speed ya kutoshaa
 
Pengine upo location ambayo netwk mkuu,mbona watu tunashusha mimovies tuu, unatumia smu gan mkuu?? Maana natream chochote ninachotaka ,smu yangu ikichagizwa na Ram ya 8 gb, speed ya kutoshaa
Inawezekana labda, lakini sio sababu ya kuchukua data bila matumizi.
 
Pengine upo location ambayo netwk mkuu,mbona watu tunashusha mimovies tuu, unatumia smu gan mkuu?? Maana natream chochote ninachotaka ,smu yangu ikichagizwa na Ram ya 8 gb, speed ya kutoshaa
Bottomline ni kuwa wanalalamikiwa sana! Nadhani wana tatizo kubwa. Mimi natumia lkn sioni tatizo kubwa...
 
Poleno asee, Hii sijui imekaaje...
Mimi hawa jamaa wamejisahau kwangu, Natumia Data za bure week ya pili hii, Nimechea na ku download mavitu mpaka memory inataka ku jaa sasa.
Na speed ni kubwa kabisa.
 
Hata airtel kifurushi cha uni offer sikuhizi imekuwa shida sana wakikupa 1gb kwa wiki wanakwambia 500mb utumie mchana 500mb nyingine utumie usiku.
Shida inakuja ukimaliza mb zako 500 za mchana hizi nyingine 500 za usiku inakuwa shida kuzitumia hauzipati kabisa nafikiri huwa wanaiba hapa.
Kuhusu halotel mimi naona upande wa mb (data) wapo vizuri kwa upande wangu natumia mpaka nasahau tatizo lao kubwa network yao ipo slow sana baadhi ya siku.
 
Halotel ndo mtandao nafuu Kwa sasa , mitandao mingine tutadanganyana Tu , labda na wao waje na package mpya, changamoto ya halotel kwangu ni upande wa txt , ukituma txt nying zinadelay Sana kumfikia mhusika ...
 
Natumia halotel naunga kifurushi Cha wiki internet na speed iko poa kwangu sijaona shida yoyote
 
π»π‘Žπ‘™π‘œπ‘‘π‘’π‘™ π‘šπ‘‘π‘Žπ‘›π‘‘π‘Žπ‘œ π‘π‘œπ‘Ÿπ‘Ž π‘ π‘Žπ‘›π‘Ž π‘˜π‘€π‘Žπ‘›π‘”π‘’ π‘‘π‘Žπ‘›π‘”π‘’ π‘˜π‘Žπ‘šπ‘π‘’π‘›π‘– π‘–π‘šπ‘’π‘Žπ‘›π‘§π‘–π‘ β„Žπ‘€π‘Ž β„Žπ‘Žπ‘€π‘Žπ‘—π‘Žπ‘€π‘Žβ„Žπ‘– π‘˜π‘’π‘›π‘–π‘Žπ‘›π‘”π‘’π‘ β„Žπ‘Ž π‘˜π‘€π‘’π‘›π‘¦π‘’ π‘‘π‘Žπ‘‘π‘Ž

π‘ˆπ‘ β„Žπ‘Žπ‘’π‘Ÿπ‘–

𝐻𝑖𝑖 π‘šπ‘–π‘‘π‘Žπ‘›π‘‘π‘Žπ‘œ π‘¦π‘Ž π‘ π‘–π‘šπ‘’ π‘˜π‘’π‘›π‘Ž π‘ π‘’β„Žπ‘’π‘šπ‘’ π‘šπ‘‘π‘Žπ‘›π‘‘π‘Žπ‘œ π‘“π‘’π‘™π‘Žπ‘›π‘– π‘€π‘Ž π‘ π‘–π‘šπ‘’ π‘’π‘›π‘Žπ‘˜π‘’π‘€π‘Ž π‘£π‘–π‘§π‘’π‘Ÿπ‘– π‘›π‘Ž π‘ π‘’β„Žπ‘’π‘šπ‘’ 𝑛𝑦𝑖𝑛𝑔𝑖𝑛𝑒 π‘’π‘›π‘Žπ‘˜π‘’π‘€π‘Ž π‘€π‘Ž β„Žπ‘œπ‘£π‘¦π‘œ,β„Žπ‘–π‘£π‘¦π‘œ π‘π‘Žπ‘ π‘– π‘‘π‘’π‘šπ‘–π‘Ž 𝑙𝑖𝑛𝑒 π‘¦π‘Ž π‘ π‘–π‘šπ‘’ π‘¦π‘Ž π‘šπ‘‘π‘Žπ‘›π‘‘π‘Žπ‘œ β„Žπ‘’π‘ π‘–π‘˜π‘Ž π‘˜π‘’π‘™π‘–π‘›π‘”π‘Žπ‘›π‘Ž π‘›π‘Ž π‘ π‘’β„Žπ‘’π‘šπ‘’ π‘’π‘›π‘Žπ‘¦π‘œπ‘–π‘ β„Žπ‘– π‘›π‘Ž π‘ π‘–π‘œ π‘˜π‘’π‘ π‘˜π‘–π‘™π‘–π‘§π‘Ž π‘šπ‘Žπ‘›π‘’π‘›π‘œ π‘¦π‘Ž π‘€π‘Žπ‘‘π‘’
 
Halotel ndo baba lao


SAA sita usiku nanunua usiku bundle non stop hadi alfajiri SAA 12
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…