I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
Naona mnajikosha sasa siku zote hizo mlikuwa wapi? Tushazoea vile vifurushi vyetu pendwa vya 2000- mb 700 leo hii mnavitoa? Hata hivyo vya usiku pack na 4g bundle bakini navyo tupeni tulivyozoea vya mwaka huu.
#kamati ya roho mbaya.
#kamati ya roho mbaya.