Charliemic
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 602
- 969
Inashughulikiwa nitatumiwa ujumbeUkiwapigia wanasemaje?
Huyo uliemtumia nae unamuamini kiasi gani?
Nitawadai fidiaKama ni hela ndogo fanya Kama umetoa sadaka! Kama ni kitita taslimu usikae kiboya wahi... Mkuu usisahau line yako uwe umesajili kwa mialama ya vidole wasije kukuletea u mbutembute
WATAKUFIDIA MKUU..😜Nitawadai fidia
Sichomoki kwa lipi!?Mkienda Mahakamani hauchomoki.