Watangazaji sasa wanabadilisha vituo kama team za soccer.
Gadner katoka Efm kaenda Clouds.
PJ na Hando wametoka Clouds wameenda Efm.
Jabir saleh na Bi Hindu wametoka Times fm wameenda Efm.
Dj Senyorita na Mami wametoka East Africa radio wameenda Clouds.
Kuna tetesi Clouds sasa wanamtaka Kitenge kwa pesa yoyote anayotaka, Kitenge akichukuliwa na Clouds Shafii amesema ataondoka na Efm wanataka kumchukua kwa pesa ndefu.
Ni mwendo wa kutangaziana dau.
Hapa haieleweki ni jeuri ya pesa?
Stunt za kuongeza kusikilizwa?
Tasnia chovu ya utangazaji inakua?
Nani anaefaidika na hii game?
Au umjini mjini?
Efm wanakwambia huu mchezo hauitaji hasira!
Tusubirie kuona mwisho wa huu mchezo au labda ndio mwanzo wa sinema.
Mjini kuzuri sana!
Fredwaa ana ubora upi kwenye kutangaza! Labda kipindi kingine lkn sio power breakfastZaidi ya Maulid Kitenge na Fredwaaaa, hakuna watangazaji wazuri hapa. Gardner hana sifa zozote za utangazaji na hajuwi tu kutangaza Zaidi ya kusifia ujinga na kuongea pumba. Wache hizo redio zitambiane ila wanajisumbua tu kuwapa watu ujiko wasio stahili.
Ina wasikilizaji wake lkn. Vijana wa mjini ndo wana waelewa hao kina clouds na Ea.Radio one choka mbaya kabisa hawana jipya
Mamaa weee kitu mashalaa
Dj Ommy crazy mshamba sio mshamba shoga sio shoga kote kote anafit. Sijui waliokota wapi ile kituko Dj anafosi kujulikana alafu hana damu ya kupendwa Mafuvu alikuwa Dj haswa.Kuna dj ommycrayz yaan huwa simuelewi kabisa
Watu wa jamii yako ndio mnaoongeza ile asilimia 71 ya Wtz Wazembe/Wavivu.....umeingia kwa Mama lishe, unaulizwa unakula nini? unajibu,nani kawambia nina njaa?Mi ndo sisikilizagi redio. Hata sielewi kitu hapa.
Si ufanye imagination.Weka picha pliz tufaidi wote.
Mkuu usiiongelee Arsenal unatupa stress tulio kimbia FB.IPP MEDIA ni kama Arsenal na wenger wao ni m'bahili kusajiri.
The same to me nigger..... Ile team kwa kweli ilikuwa inatii kiuu za burudani hasa usiku ghetton wakat nacheza na computer yangu nimetune in East Africa radio.....Hunizidi mimi mkuu maana EA Radio ndio my favourite station hapa bongo, kama vipi wamrudishe mafuvu tu.
Mara ingine ma. presenter inabid watunze status zao sio kuhama radio eti kisa umeongezewa ka laki Moja zaid ya pato la awaliAiseeeeeeeeee!!!!! Hata mm cjaamin nnebak naduaa,na cm nliweka,chin gafla kwa mshangaaaooooo
Hivi twalibu ana sifa ya utangazaji????? lile lisauti Lake halina mpangilio linapanda na kushuka yaan anatangaza kwa kupiga makeleleHivi Twalib Omary Muwa amehamia clouds kutoka Azam tv,maana nasikia leo sauti yake spotiextra ya clouds.Bora kidogo kipindi kitachangamka kilishaanza kupoa
Radio one washaachana na kauli mbiu yake ya zamani kipind cha kwa Fujo djsRadio one choka mbaya kabisa hawana jipya
It's true mkuu yan co dau kubwa wanaongezewa n dogo tu af ruge wafanyakaz wake wengi wanatoka kwa kampun ya mengi Ipp estiafrica,redio inakua na watangazahi wakali sana mtu km mavuvu alikua dj mkali hata,dj 0. Alikua anasubr mavuvu cjui yuko wap nowMara ingine ma. presenter inabid watunze status zao sio kuhama radio eti kisa umeongezewa ka laki Moja zaid ya pato la awali
MI naamin tuliwapenda zaid wakiwa east Africa radio kwa kuwa hii ni radio pekee ambayo inasimama kwenye misingi ya haki kuhusu burudani bila kumbeba au kumbania msanii
Mpinzan mkubwa wa burudani kwa Sasa ni Kati ya east Africa radio na clouds fm ndio maana ruge yupo Tayari apande dau ili kuwarubuni mapresenter wa east Africa radio dau lenyewe laki Moja tu
Kennedy the remedy na gorge bantu pia walitoka east Africa radio
Maganga pia alitoka east Africa radio
Milard ayo pia alitoka huku
Baada ya kipind cha Milard ayo kuanza kukosa umaarufu kwa kasi kutokana na watu kuvutiwa na burudani iliyokuwa ikitolewa kupitia mikono ya dj sinyorita na midomo ya marmie babie ndipo walipoamua kuwapandia dau faster
Mafuvu amejiajiri km sikoseiIt's true mkuu yan co dau kubwa wanaongezewa n dogo tu af ruge wafanyakaz wake wengi wanatoka kwa kampun ya mengi Ipp estiafrica,redio inakua na watangazahi wakali sana mtu km mavuvu alikua dj mkali hata,dj 0. Alikua anasubr mavuvu cjui yuko wap now
Una akili kinoma big up...nimeona kitu apoMara ingine ma. presenter inabid watunze status zao sio kuhama radio eti kisa umeongezewa ka laki Moja zaid ya pato la awali
MI naamin tuliwapenda zaid wakiwa east Africa radio kwa kuwa hii ni radio pekee ambayo inasimama kwenye misingi ya haki kuhusu burudani bila kumbeba au kumbania msanii
Mpinzan mkubwa wa burudani kwa Sasa ni Kati ya east Africa radio na clouds fm ndio maana ruge yupo Tayari apande dau ili kuwarubuni mapresenter wa east Africa radio dau lenyewe laki Moja tu
Kennedy the remedy na gorge bantu pia walitoka east Africa radio
Maganga pia alitoka east Africa radio
Milard ayo pia alitoka huku
Baada ya kipind cha Milard ayo kuanza kukosa umaarufu kwa kasi kutokana na watu kuvutiwa na burudani iliyokuwa ikitolewa kupitia mikono ya dj sinyorita na midomo ya marmie babie ndipo walipoamua kuwapandia dau faster