Watanzania
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 727
- 44
Nimewasikiliza hawa wabunge jana wakiongea kama wabunge wa CCM. Hamadi Rashid anasema eti Spika ametupatia ushauri mzuri wabunge wa upinzani. Cheyo naye anasema eti siasa za nchi isitawalike. Sasa Hamadi Rashid na Cheyo wanasubiri nini kutangaza kuwa wao ni CCM damu damu?