Elections 2010 Hamadi Rashid na Cheyo kama CCM

Elections 2010 Hamadi Rashid na Cheyo kama CCM

Watanzania

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2009
Posts
727
Reaction score
44
Nimewasikiliza hawa wabunge jana wakiongea kama wabunge wa CCM. Hamadi Rashid anasema eti Spika ametupatia ushauri mzuri wabunge wa upinzani. Cheyo naye anasema eti siasa za nchi isitawalike. Sasa Hamadi Rashid na Cheyo wanasubiri nini kutangaza kuwa wao ni CCM damu damu?
 
Hamadi Rashid ni sawa na Seif na Lipumba, kwao hawawezi kuishi bila madaraka ama kutambuliwa, Hamad anadhani CDM ndio wapinzani wao wakubwa, Ndio maana inashangaza movie ya ccm kung'ang'ania cuf , kwakua wanajua udhaifu wao, wanajua unyonge wao, wanajua cuf wanachotaka ni madaraka , ukiwapa wananyamaza kimya, wameona kule Znz, wametulizana kwa unyonge, ni waroho na warafi wa madaraka , ni genge la watu wahovyo, ooh Yes watu wa hovyo kabisa.
 
Hawa jamaa walishafunga ndoa na CCM zamani sana!!!
 
Nimewasikiliza hawa wabunge jana wakiongea kama wabunge wa CCM. Hamadi Rashid anasema eti Spika ametupatia ushauri mzuri wabunge wa upinzani. Cheyo naye anasema eti siasa za nchi isitawalike. Sasa Hamadi Rashid na Cheyo wanasubiri nini kutangaza kuwa wao ni CCM damu damu?

Vipi ulimsikia Mbowe alivyo mbaguzi. Kwanini awabague wapinzani wenzake?
 
Ni yaleyale tu ya divide the so that it becomes easier for you to rule them
 
Nimewasikiliza hawa wabunge jana wakiongea kama wabunge wa CCM. Hamadi Rashid anasema eti Spika ametupatia ushauri mzuri wabunge wa upinzani. Cheyo naye anasema eti siasa za nchi isitawalike. Sasa Hamadi Rashid na Cheyo wanasubiri nini kutangaza kuwa wao ni CCM damu damu?

Kwa kipimo cha ufahamu wako upinzani maana yake ni kupinga kila kitu?
 
Nimewasikiliza hawa wabunge jana wakiongea kama wabunge wa CCM. Hamadi Rashid anasema eti Spika ametupatia ushauri mzuri wabunge wa upinzani. Cheyo naye anasema eti siasa za nchi isitawalike. Sasa Hamadi Rashid na Cheyo wanasubiri nini kutangaza kuwa wao ni CCM damu damu?

Nafikiri matatizo yanayompata hamad pamoja na wenzake sasa hivi baada ya muafaka wa CCM na CUF ni jinsi gani wataweza kupenya nao kwenye serikali baada ya kiongozi wao seif kuwaacha solemba bila kuacha hatma yao. Kwa kweli wapo kwenye hali ngumu sana maana sasa hivi haieleweki kabisa nafasi ya wanachama wengine wa CUF kwenya huo muafaka kitu kinachofanya waishi na wafanye mambo kama watoto yatima. Hawa wameachwa solemba, sasa wasipojitahidi kupigana kupata sehemu ya kusimama hali itakuwa ngumu sana kwao. Siasa na wanasiasa wa tanzania sasa hivi ni kichekesho tosha maana ni maslahi kwanza kuwatumikia wananchi baadaye. Juzi nilitegemea makamu 2 wa rais wa serikali ya mapinduzi ya zanzibar naye atakuwa miongoni mwa waandamanaji wa CUF wanaopinga malipo ya downs, lakini thubutu!! labda ni katika ukweli wa yule mtunga mashairi aliyewahi kuandika shairi lisemalo "kwetu ni kwenu kwa nini?" ngoja niishie hapa niangalie hii video ya vichekesho vya tz
 
Hamadi Rashid ni sawa na Seif na Lipumba, kwao hawawezi kuishi bila madaraka ama kutambuliwa, Hamad anadhani CDM ndio wapinzani wao wakubwa, Ndio maana inashangaza movie ya ccm kung'ang'ania cuf , kwakua wanajua udhaifu wao, wanajua unyonge wao, wanajua cuf wanachotaka ni madaraka , ukiwapa wananyamaza kimya, wameona kule Znz, wametulizana kwa unyonge, ni waroho na warafi wa madaraka , ni genge la watu wahovyo, ooh Yes watu wa hovyo kabisa.
waroho na walafi Wa madaraka ni chama chenu cha kikabila chadema,bila ubinafsi na uroho wao wamadaraka yote haya yasingekuepo,sasa wameula wa chuya kwa tamaa zakijinga,
 
Vipi ulimsikia Mbowe alivyo mbaguzi. Kwanini awabague wapinzani wenzake?
Hivi wengine mpaka mpigwe nyundo ya kichwa ndio muelewe? sababu za CDM kuikataa CUF mbona zilishawekwa wazi mara nyingi.
Hivi unaweza kumlazimisha mwanao kuoa wakati kesha kuambia "mzazi wangu, simtaki huyu ni malaya" ?
 
waroho na walafi Wa madaraka ni chama chenu cha kikabila chadema,bila ubinafsi na uroho wao wamadaraka yote haya yasingekuepo,sasa wameula wa chuya kwa tamaa zakijinga,
Anayetoa hoja kanuni zibadilishwe ili apate madaraka na anayesimamia kanuni kama zinavyotaka ni yupi aliye mlafi wa madaraka?
 
waroho na walafi Wa madaraka ni chama chenu cha kikabila chadema,bila ubinafsi na uroho wao wamadaraka yote haya yasingekuepo,sasa wameula wa chuya kwa tamaa zakijinga,
unamaanisha chadema ni chama cha kabila gani? wapo kuanzia mtwara hadi kagera. labda ni cha kabila linaitwa tanganyika
 
Back
Top Bottom