Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Makubaliano yamefikiwa hii leo huko Beijing nchini China kati ya Hamas na chama cha Hamas ambacho kina mamlaka fulani huko ukingo wa magharibi.
Tangazo hili lilitolewa na waziri wa mambo ya nje wa China,ndugu Wang Yi ambapo upande wa Hamas uliwakilishwa na Mousa Abu Marzuk.Upande wa Fatah makubaliano hayo yalitiwa saini na waziri mkuu wa mamlaka hayo.
Makubaliano hayo ni pamoja na namna ya kulitawala eneo la Gaza siku ambapo itatangazwa vita vimesitishwa.
Baada ya kusikia tangazo hilo waziri mkuu wa Israel,Netanyahu ametoa lawama kwa kiongozi wa Palestina chini ya chama cha Fataha kwa kufikia makubaliano hayo na Hamas.
Tangazo hili lilitolewa na waziri wa mambo ya nje wa China,ndugu Wang Yi ambapo upande wa Hamas uliwakilishwa na Mousa Abu Marzuk.Upande wa Fatah makubaliano hayo yalitiwa saini na waziri mkuu wa mamlaka hayo.
Makubaliano hayo ni pamoja na namna ya kulitawala eneo la Gaza siku ambapo itatangazwa vita vimesitishwa.
Baada ya kusikia tangazo hilo waziri mkuu wa Israel,Netanyahu ametoa lawama kwa kiongozi wa Palestina chini ya chama cha Fataha kwa kufikia makubaliano hayo na Hamas.


astaghfirullah