Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
100 perc mkuuUSA na Israel wanachotaka hapo ni kuingia tena Gaza kuwashambulia Hamas..
Na itatafutwa kisababu kidogo sana, kingine hao mateka wanakwenda kuhojiwa ili watoe taarifa za huko walipokuwa...
Sidhani kama Israel ina amani Hamas kuwepo hapo GAza.. Hii vita itaendelea baada ya kubadilishana mateka..