HAMAS waelezea walivyobaka na kuua na hawajutii!

HAMAS waelezea walivyobaka na kuua na hawajutii!

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776


iiiiiiii.jpeg



Baba na mwanawe Wapalestina wanaungama kwa genge la kikatili la kuwapiga, kuwabaka, kwafi** wanawake wa Israeli tarehe 7 Oktoba,2023.

Jamal Hussein Ahmad Radi, 47, na mwanawe Abdallah, 18 hawakuonyesha majuto kwani walikiri kuwapiga na kuwaua wanawake wa Israel huku wakisema mungu wao atawalipa dhawabu kubwa mbinguni.

Katika nyumba ya kwanza nilimpata mwanamke na mumewe, na tukawachoma kwa moto na kuwaua ... walikuwa na umri wa miaka 40.
Alikuwa akipiga kelele, alikuwa akilia, nilifanya nilichofanya, nilimkashifu. Nilimtishia kwa bunduki yangu ili nimvue nguo, nakumbuka alikuwa amevaa kaptura ya jean, ndio hivyo, alikuwa bikra, nilimbaka kwa zamu mimi na baba yangu na baada tukamuua. Sijui nini kilimpata, nilikaa hapo kwa dakika kumi na tano kisha nikaondoka.”

Mwanawe wa umri wa miaka 18 hakuonyesha huruma alipozungumza kupitia matendo yake siku hiyo kwenye chombo cha habari baada ya kukamatwa.

“Baba yangu alimlawiti, kisha nikamlawiti, kisha binamu yangu akafanya kisha tukaondoka lakini baba yangu alimuua yule mwanamke baada ya kumaliza kumlawiti.

Kabla ya mwanamke huyu, tuliwahi kumuwinda msichana mwingine pia, niliua watu wawili, nikawala* watu wawili, na kuvunja nyumba tano.”


View: https://x.com/elly_bar/status/1793718545827893430
Chanzo: Daily Mail
 


View attachment 2997864


Baba na mwanawe Wapalestina wanaungama kwa genge la kikatili la kuwapiga, kuwabaka, kwafi** wanawake wa Israeli tarehe 7 Oktoba,2023.

Jamal Hussein Ahmad Radi, 47, na mwanawe Abdallah, 18 hawakuonyesha majuto kwani walikiri kuwapiga na kuwaua wanawake wa Israel huku wakisema mungu wao atawalipa dhawabu kubwa mbinguni.

Katika nyumba ya kwanza nilimpata mwanamke na mumewe, na tukawachoma kwa moto na kuwaua ... walikuwa na umri wa miaka 40.
Alikuwa akipiga kelele, alikuwa akilia, nilifanya nilichofanya, nilimkashifu. Nilimtishia kwa bunduki yangu ili nimvue nguo, nakumbuka alikuwa amevaa kaptura ya jean, ndio hivyo, alikuwa bikra, nilimbaka kwa zamu mimi na baba yangu na baada tukamuua. Sijui nini kilimpata, nilikaa hapo kwa dakika kumi na tano kisha nikaondoka.”

Mwanawe wa umri wa miaka 18 hakuonyesha huruma alipozungumza kupitia matendo yake siku hiyo kwenye chombo cha habari baada ya kukamatwa.

“Baba yangu alimlawiti, kisha nikamlawiti, kisha binamu yangu akafanya kisha tukaondoka lakini baba yangu alimuua yule mwanamke baada ya kumaliza kumlawiti.

Kabla ya mwanamke huyu, tuliwahi kumuwinda msichana mwingine pia, niliua watu wawili, nikawala* watu wawili, na kuvunja nyumba tano.”

Chanzo: Daily Mail
It doesn't make any difference to the Palestinians themselves either. They'll probably declare these guys martyrs, name streets after them and teach their kids to be like them. People don't want to believe it, but that's who they are and what they've been for a long time.
 
Back
Top Bottom