Echolima1
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 875
- 633
Karina Ariev alinusurika kuzimu. Alitekwa nyara na Magaidi wa Hamas mnamo Oct 07,2023 alipigwa, kakabwa shingini na kuburutwa hadi Gaza. Sasa, anafichua jambo lenye kuudhi hata zaidi—mmoja wa watekaji wake alimnyanyasa kingono.
Hawa ndio Hamas. Wanawake sio mateka tu; ni waathirika wa unyanyasaji usiofikirika wa Kingo o Na bado jumuia za ki Mataifa zako kimya Maandamano ya wanawake hawa yako wapi?
Ulimwengu ulikuwa mwepesi kupiga kelele kuhusu Gaza, lakini linapokuja suala la wanawake wa Israeli, kuna ukimya huwezi kusikia mtu anapaza sauti karibu ujmują zote za kimataifa ikiwemo UN zimetekwa nyara na waarabu hata siku moja hawajawahi kulaani vitendo vya magaidi hao Red-Cross nao hawajawahi kuwatembelea mateka hata siku moja. Magaidi wa Hamas ni wauaji na wabakaji.
Hawa ndio Hamas. Wanawake sio mateka tu; ni waathirika wa unyanyasaji usiofikirika wa Kingo o Na bado jumuia za ki Mataifa zako kimya Maandamano ya wanawake hawa yako wapi?
Ulimwengu ulikuwa mwepesi kupiga kelele kuhusu Gaza, lakini linapokuja suala la wanawake wa Israeli, kuna ukimya huwezi kusikia mtu anapaza sauti karibu ujmują zote za kimataifa ikiwemo UN zimetekwa nyara na waarabu hata siku moja hawajawahi kulaani vitendo vya magaidi hao Red-Cross nao hawajawahi kuwatembelea mateka hata siku moja. Magaidi wa Hamas ni wauaji na wabakaji.