Hamas wametusaliti sisi wenzao

Hamas wametusaliti sisi wenzao

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Why? Why wanaamua kuwaachilia mateka? Tulikubaliana waache wayahudi waingie Gaza. Kisha tuwazunguke tuwapige kipigo kikali asirudi kwao hata mmoja.

Nashangaa wanapowaachilia mateka. Hawa Israel walikuwa wetu kabisa. Tungewamaliza wote kisha tunamalizia na mateka wao. Hii ilikuwa nafasi adimu kabisa ya kuwafuta Israel usoni mwa Dunia. Sasa nani kawashauri wawaachie mateka?

Sisi tulikuwa tunajua kabisa mipango ya Hamas... Ndo maana tulikuwa tunawaonea huruma sana hawa Wayahudi. Mi nilikuwa nawatizama.... Nasema hiiiiiii..... Nlikuwa najua watakutana na chamoto. Nadhani Hamas wameingiwa na huruma na kuona bora wawaachie ili kuwapunguzia madhara hawa Israel.

Nawashauri Hamas wasikubali kusitisha vita. Hawa wayahudi wameshashindwa kabisa na ndo maana sasa wanarudishiwa tu mateka.

Kiukweli sisi Hamas wa tandale kwa tumbo, vingunguti, maji matitu, tandika, kwa mnyamani, binti madenge n.k. tumekatishwa tamaa sana. Haikupaswa ive hivi. Tumekuwa wanyonge sana.
 
Ukiona hivyo ujue walizidiwa kwani walipokea mapigo ndoige. We unadhani kwanini boss wao Haniyeh alikuwa anazurula huko Qatar na Egypt kuomba ceasefire, wameambulia siku nne tu wapumue. Leo Hamas wao wenyewe wamesema wanafanyia kazi juu chini uwezekano wa kuongezewa muda wa ceasefire.
 
Ukiona hivyo ujue walizidiwa kwani walipokea mapigo ndoige. We unadhani kwanini boss wao Haniyeh alikuwa anazurula huko Qatar na Egypt kuomba ceasefire, na kaambulia temporarly pause na leo Hamas wamesema wanafanyia kazi juu chini kuongezewa muda wa ceasefire.
Kipondo kitaendelea,mateka watatoa siri mashimo yako wapi.
Baada ya hapo ni fagia fagia.
Kwa akili ndogo tu unadhani mzayuni anatafuta mateka?
Hana hata haja nao,
Ila kisingizio tu huku anatoa kichapo
 
Israel aliwapiga Iran,Siria,Jordan,Misri na Palestina kwa pamoja wakiwa wakiwa wameumgana iko Kaa kitako nikupe Historia iko hivi.

SIX DAYS WAR
Sylia ilianza kuipiga Israel kwa kuwa Israel alichepusha maji ya mto Jordan kwaajili ya kilimo cha umeagiriaji,Kupitia milimani Sylia iliishambulia mashamba ya Israel na Israel Akaenda kulalamika UN.

Malalamiko ya Israel hayakusikilizwa Israel akaanza kulipiza mashambulizi kwa Sylia.

Sylia akapata wa shirika wafuato Lebanon [emoji1146],Egypt [emoji1093] Jordan [emoji1137] Palestina wakaungana na kupanga mashambulizi ili kuifuta Israel kwenye uso wa dunia.

Taarifa zikafika Israel [emoji1134] chini ya Waziri Mkuu Levi Ishkov (Jamaa kichwa sanaa)

Akawachezea mchezo mchafu kwa kuitishaa wana kesho wastaafu na wote wenye ujuzi wa kijeshi kureport kambini kwaajili ya kujiandaa na vita.

Baada ya siku kadhaa akatangaza watu waendelee na mambo yao hakuna vita Kumbe ilikua zuga ili mwarabu aingie mkenge. Na kweli mwarabu aliingia mkenge.

Kabla ya Vita Rais wa Misri aliitwa Gamar kama sijakosea alitangaza wanajeshi wote wa UN waondoke na wakaondoka kwakuwa walikua wanaichakaza Israel.

Tarehe 5 June 1967 Israel aliishambulia Misri kwa kuanza na Cairo, Jordan ,Sylia Lebanon na Palestina kwa mpigo.

Wanajeshi wa muunganiko wapatao 640,000 Walingia Israel kupitia Jordan kura za mto zilivunjwa ili wasiweze kurudi nyuma wakamalizwa ndani ya siku 4.

Rais wa Misri aliomba poo akaomba UN warudishe wanajeshi mzigoni ndani ya siku 6. Jamaa walikua uu vibaya na Israel [emoji1134]

Mpaka leo huku ti Misri anashoboka na Israel.
 
Kipigo Kiendelee Naona Hamas Wamepumua siku Nne Nyingi Sanaa na Safari hii Humo Humo Kwenye Mashimo Wanapulizia Dawa ya Kuulia Vijidudu Sugu Ili Watoke Nje Wakutane Na Motoooo Mpka Wajute Huu mwaka Wataumaliza Vibaya
 
Israel aliwapiga Iran,Siria,Jordan,Misri na Palestina kwa pamoja wakiwa wakiwa wameumgana iko Kaa kitako nikupe Historia iko hivi.

SIX DAYS WAR
Sylia ilianza kuipiga Israel kwa kuwa Israel alichepusha maji ya mto Jordan kwaajili ya kilimo cha umeagiriaji,Kupitia milimani Sylia iliishambulia mashamba ya Israel na Israel Akaenda kulalamika UN.

Malalamiko ya Israel hayakusikilizwa Israel akaanza kulipiza mashambulizi kwa Sylia.

Sylia akapata wa shirika wafuato Lebanon [emoji1146],Egypt [emoji1093] Jordan [emoji1137] Palestina wakaungana na kupanga mashambulizi ili kuifuta Israel kwenye uso wa dunia.

Taarifa zikafika Israel [emoji1134] chini ya Waziri Mkuu Levi Ishkov (Jamaa kichwa sanaa)

Akawachezea mchezo mchafu kwa kuitishaa wana kesho wastaafu na wote wenye ujuzi wa kijeshi kureport kambini kwaajili ya kujiandaa na vita.

Baada ya siku kadhaa akatangaza watu waendelee na mambo yao hakuna vita Kumbe ilikua zuga ili mwarabu aingie mkenge. Na kweli mwarabu aliingia mkenge.

Kabla ya Vita Rais wa Misri aliitwa Gamar kama sijakosea alitangaza wanajeshi wote wa UN waondoke na wakaondoka kwakuwa walikua wanaichakaza Israel.

Tarehe 5 June 1967 Israel aliishambulia Misri kwa kuanza na Cairo, Jordan ,Sylia Lebanon na Palestina kwa mpigo.

Wanajeshi wa muunganiko wapatao 640,000 Walingia Israel kupitia Jordan kura za mto zilivunjwa ili wasiweze kurudi nyuma wakamalizwa ndani ya siku 4.

Rais wa Misri aliomba poo akaomba UN warudishe wanajeshi mzigoni ndani ya siku 6. Jamaa walikua uu vibaya na Israel [emoji1134]

Mpaka leo huku ti Misri anashoboka na Israel.
Apia
 
Why? Why wanaamua kuwaachilia mateka? Tulikubaliana waache wayahudi waingie Gaza. Kisha tuwazunguke tuwapige kipigo kikali asirudi kwao hata mmoja.

Nashangaa wanapowaachilia mateka. Hawa Israel walikuwa wetu kabisa. Tungewamaliza wote kisha tunamalizia na mateka wao. Hii ilikuwa nafasi adimu kabisa ya kuwafuta Israel usoni mwa Dunia. Sasa nani kawashauri wawaachie mateka?

Sisi tulikuwa tunajua kabisa mipango ya Hamas... Ndo maana tulikuwa tunawaonea huruma sana hawa Wayahudi. Mi nilikuwa nawatizama.... Nasema hiiiiiii..... Nlikuwa najua watakutana na chamoto. Nadhani Hamas wameingiwa na huruma na kuona bora wawaachie ili kuwapunguzia madhara hawa Israel.

Nawashauri Hamas wasikubali kusitisha vita. Hawa wayahudi wameshashindwa kabisa na ndo maana sasa wanarudishiwa tu mateka.

Kiukweli sisi Hamas wa tandale kwa tumbo, vingunguti, maji matitu, tandika, kwa mnyamani, binti madenge n.k. tumekatishwa tamaa sana. Haikupaswa ive hivi. Tumekuwa wanyonge sana.

kwaiyo we Jambaka nani ulienda kama mke wa Hao HAMAS
 
kwaiyo we Jambaka nani ulienda kama mke wa Hao HAMAS
Safi sana dogo. Umepata kibarua cha kupitia threads zote za Mlume Ndago. 🤣 Na kuzifanya tena ziwe active. Kweli una hamu na wanaume. Umenifanya nifurahi aunt rio shabazz.
 
Back
Top Bottom