Hamas wanapenda sana msosi. Israel baada ya kuruhusu malori ya chakula wataachia mateka sita na maiti nne

Hamas wanapenda sana msosi. Israel baada ya kuruhusu malori ya chakula wataachia mateka sita na maiti nne

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2018
Posts
8,082
Reaction score
17,838
Chezea njaa wewe.

Njemba zinakomaa lakini cha moto wanakiona.

Baada ya Taifa teule la Israel kuruhusu kwa wingi malori yaliyojaa chakula kuingia Gazza Hamas wamefurahi kweli nakuahidi kuachia mateka 6 siku ya jumamosi badala ya watatu walivyokubaliana.

Furaha ya msosi ikawafanya kuwa na mihemko zaidi hiki kikundi uchwara cha kigaidi na nakuahidi kuachia maiti nne za wateule siku ya alhamisi.

Licha ya mazagazaga na mapochopocho Wateule wameruhusu misaada mengine kuingia kwenye huu ukanda uliolaaniwa kama mahema na mobile homes.

Sasa hivi Hamas wataenda maliwatoni kwa furaha na kubadilisha rangi ya kimba.

Kwa upande mwengine hofu imetanda kwa wateule baada ya Hamas kuahidi kuachilia maiti nne teule.

Huenda zikawa za Shiri Bibaz na vijana wake Ariel na Kfir the red Head.

Ikumbukwe huyu Shiri Bibaz alivuta hisia za watu sana tarehe 7/10 2023 akionekana na sura ya mshtuko na uwoga alipotekwa na huku amezingirwa na jopo la magaidi ya Hamas. Mume wake aliachiwa huru majuzi.

Pia tunaomba miili ya ndugu zetu watanzania Wakulima namba moja Joshua Mollel na Clemence Mtenga (Mromboo ) inayoshikiliwa na haya magaidi uchwara yanayopenda msosi tu kuachiliwa mara moja ili tuwazike kiheshima na kikristo.

Hapo chini ni video ya shiri Bibaz walivyochukuliwa mateka na waovu Hamas.


View: https://www.youtube.com/watch?v=7Y9fHUOhTMY&pp=ygULc2hpcmkgYmliYXM%3D

and 100 others

Nyau de adriz
 
Kwahio Chakula / Basic need pia ilikuwa inatumika kama silaha ya vita ?

Nadhani tungefahamu kwamba vita hivi ni ideology (be it folly) tungepunguza kutumia mabavu na kutumia hekima, busara na akili zaidi; ukizingatia kwa yanayotokea kama yanaweza kutafsiriwa kama uonevu ni mwendo wa kuzalisha kina Hamas ambao wataleta tafurani kwa dunia ya kesho au keshokutwa.
 
Ila hawa wajinga pamoja na ujinga wao wote lakini kuweza kukaa na mateka wasifikiwe na IDF hii inanishangaza kidogo.
Mkuu IDF walijua walipo ila waliwafanya human shield. Na udhaifu huu Yahya Sinwar alishaufaham sana kwa Israel. Wanajali sana mateka wao ndo maana Hamas wanatumia hii njia. Kama wale mabinti sita mateka walikuwa nyumbani kwa commander wa Hamas unaambiwa kila anapenda anaandamana nao.
 
Kwahio Chakula / Basic need pia ilikuwa inatumika kama silaha ya vita ?

Nadhani tungefahamu kwamba vita hivi ni ideology (be it folly) tungepunguza kutumia mabavu na kutumia hekima, busara na akili zaidi; ukizingatia kwa yanayotokea kama yanaweza kutafsiriwa kama uonevu ni mwendo wa kuzalisha kina Hamas ambao wataleta tafurani kwa dunia ya kesho au keshokutwa.
Haya majitu hayawezi kuleta furaha. Nikupewa tu msosi kwa wingi yakishashiba na kuvimbiwa nikuyaua tu indiscriminately bila huruma kwa kuyashushia vitu vizito vyenye ncha butu vikigusa ardhi vinalipuka.

No MERCY maamaee

Nyau de adriz
 
Mkuu IDF walijua walipo ila waliwafanya human shield. Na udhaifu huu Yahya Sinwar alishaufaham sana kwa Israel. Wanajali sana mateka wao ndo maana Hamas wanatumia hii njia. Kama wale mabinti sita mateka walikuwa nyumbani kwa commander wa Hamas unaambiwa kila anapenda anaandamana nao.
Sasa hawa jamaa wanavyopenda ngono hao mabinti wamesalimika kweli?
 
Haya majitu hayawezi kuleta furaha. Nikupewa tu msosi kwa wingi yakishashiba na kuvimbiwa nikuyaua tu indiscriminately bila huruma kwa kuyashushia vitu vizito vyenye ncha butu vikigusa ardhi vinalipuka.

No MERCY maamaee

Nyau de adriz
maandiko yako ni kweli yanafanana na tabia yako kama ulivyojiandika. You are the real savage wewe unaefurahia mateso ya watu wengine.

Ati wateule, wameteuliwa na nani?
 
Haya majitu hayawezi kuleta furaha. Nikupewa tu msosi kwa wingi yakishashiba na kuvimbiwa nikuyaua tu indiscriminately bila huruma kwa kuyashushia vitu vizito vyenye ncha butu vikigusa ardhi vinalipuka.

No MERCY maamaee

Nyau de adriz
And how does that make the world safer ?

Unadhani wewe na nchi yako (na Afrika kwa ujumla) unanyonywa kiasi gani ila bado unawasifia wanaokunyonya na kuwaona wakombozi ? (At least wanajua kula na vipofu na wanakuibia kwa kutumia Stealth Methods) kwahio haya mambo yangeweza kufanyika kwa busara underground na uprooting all dissidents bila kuzalisha wengine (unaua mmoja unazalisha elfu moja) hata kama sio leo basi kesho na keshokutwa...

Hivi unajua the rise ya kina Khomeini kule Iran kulisababishwa na USA (kwa mgongo wa kulinda maslahi ya Mafuta na kampuni za mafuta) kwa kumweka kibaraka wao Shah hadi watu wakaona sio sawa na ku revolt ?!!! Ila ndio hivyo madhara yake tunayavuna mpaka leo...
 
maandiko yako ni kweli yanafanana na tabia yako kama ulivyojiandika. You are the real savage wewe unaefurahia mateso ya watu wengine.

Ati wateule, wameteuliwa na nani?
Mkuu tatizo lako unaendeshwa na hisia na mihemko. Mimi nafuata fects na maandiko. Na siyo maandiko tu ya kawaida bali neno la Mungu. Mungu mwenyewe akaweka wazi waisrael/wayahudi ni wateule kawateua yeye binafsi upende usipend. Na akaenda mbali na kusema tena kwa kinywa chake UKIMBARIKI muisrael UTABARIKIWA naam ukimlaan UTALAANIWA.

Yani baraka ziko nje waziwazi lakini kwa chuki zenu zidi ya wateule mnazidi kulaaniwa na hamsikii. Shauri zenu!

God BLESS and PROTECT Israel

and 100 others Sir John Roberts Kambaku Webabu Ritz Malaria 2 ITR Adiosamigo

Nyau de adriz
 
maandiko yako ni kweli yanafanana na tabia yako kama ulivyojiandika. You are the real savage wewe unaefurahia mateso ya watu wengine.

Ati wateule, wameteuliwa na nani?
Dunia Kuna watu hawana akili kabisa na huyo ni mmoja wapo , huyo ni Savage tena great Barbarian humu jukwaani.

Wateule wakati wanamkataa hadi Yesu anayemuani , tabia ya kuamini kuwa watu Fulani ni udhalili na ujinga wa kupindukia kwani inamaanisha wao hawana baya na wewe na wengine ni scumbags.
 
Mkuu tatizo lako unaendeshwa na hisia na mihemko. Mimi nafuata fects na maandiko. Na siyo maandiko tu ya kawaida bali neno la Mungu. Mungu mwenyewe akaweka wazi waisrael/wayahudi ni wateule kawateua yeye binafsi upende usipend. Na akaenda mbali na kusema tena kwa kinywa chake UKIMBARIKI muisrael UTABARIKIWA naam ukimlaan UTALAANIWA.

Yani baraka ziko nje waziwazi lakini kwa chuki zenu zidi ya wateule mnazidi kulaaniwa na hamsikii. Shauri zenu!

God BLESS and PROTECT Israel

and 100 others Sir John Roberts Kambaku Webabu Ritz Malaria 2 ITR Adiosamigo

Nyau de adriz
That's is mental slavery hata Qur'an imewasifia Wana wa Israel kuwa aliwafadhilisha kuliko walimwengu wote kwa maana wao waliletewa Mitume na Manabii wengi kuliko wengine .

Na ili huo Fadhila na utukufu waupate haiwi naturally bali kwa kufuta Manabii na mafundisho yao , endapo watakenguka basi wanatoka katika mnyororo wa huo utukufu na Fadhila.

Ila kwa vile nyie hamna exegesis yaani uchambuzi wa maaandiko yenu na wengi mmepotoshwa na maandiko yenyewe kupotoshwa ndio maana wengi kama nyie mmekuwa Makondoo watiifu na Brainwashed Maarass

Eti jitu zima linaamini Kuna watu watukufu naturally hawana baya hata wafanye vipi pamoja na kuwa Lichawa litiifu , Maarasss shame on you , emancipate yourself from mental slavery, Maarass!!!!
 
Kamdanganye
Mkuu IDF walijua walipo ila waliwafanya human shield. Na udhaifu huu Yahya Sinwar alishaufaham sana kwa Israel. Wanajali sana mateka wao ndo maana Hamas wanatumia hii njia. Kama wale mabinti sita mateka walikuwa nyumbani kwa commander wa Hamas unaambiwa kila anapenda anaandamana nao.
Nyau.
 
Mkuu tatizo lako unaendeshwa na hisia na mihemko. Mimi nafuata fects na maandiko. Na siyo maandiko tu ya kawaida bali neno la Mungu. Mungu mwenyewe akaweka wazi waisrael/wayahudi ni wateule kawateua yeye binafsi upende usipend. Na akaenda mbali na kusema tena kwa kinywa chake UKIMBARIKI muisrael UTABARIKIWA naam ukimlaan UTALAANIWA.

Yani baraka ziko nje waziwazi lakini kwa chuki zenu zidi ya wateule mnazidi kulaaniwa na hamsikii. Shauri zenu!

God BLESS and PROTECT Israel

and 100 others Sir John Roberts Kambaku Webabu Ritz Malaria 2 ITR Adiosamigo

Nyau de adriz
Na wewe shida yako ni ufinyu wa kufikiri, hilo neno la Mungu nani aliliandika - ni huyo huyo Yahudi. Mungu hajapendelea taifa lo lote kwa taarifa yako, ni inferiority complex yako ndiyo inakusumbua.

Kwa nini Mungu akuumbe halafu akwambie wewe ni inferior, umewahi kuwaza hayo?
 
Haya majitu hayawezi kuleta furaha. Nikupewa tu msosi kwa wingi yakishashiba na kuvimbiwa nikuyaua tu indiscriminately bila huruma kwa kuyashushia vitu vizito vyenye ncha butu vikigusa ardhi vinalipuka.

No MERCY maamaee

Nyau de adriz
Kula vizuri , kunywa maji mengi,pata muda wa kutosha wa kulala itakusaidia sana kupunguza sukari na presha
 
Back
Top Bottom