Hamas waomba ubadilishanaji wa mateka tena


Haya mavideo hayawasaidia kitu, temaneni na Wayahudi la sivyo mtakufa sana.
 
Mama yako au baba yako angekuwa mateka huko ungethubutu kusema hivi? Tuzionee huruma familia ambazo ndugu zao wametekwa.

Au unafikiri mtoto wa kiongozi mkubwa israeli angekuwa katekwa wangesema hawana mpango wa kubadilishana?
At least hao wametekwa,uenda wapo hai ama lah.kuna mtoto wa kiongozi mkubwa wa isra kafia frontline huyo nae unamsemeaje?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…