HAMAS yasema hakuna mateka atakayeondoka Gaza akiwa hai hadi matakwa yake yatakapotimizwa

HAMAS yasema hakuna mateka atakayeondoka Gaza akiwa hai hadi matakwa yake yatakapotimizwa

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanaukumbi.

Hamas imeonya kuwa hakuna mateka atakayeondoka Gaza akiwa hai hadi pale matakwa yake yatakapotimizwa.

"Hakuna adui wa kiyahudi na uongozi wake wa kiburi... wala wafuasi walio nyuma yao ... wanaweza kuwachukua wafungwa wao wakiwa hai bila kubadilishana, kujadiliana na kukubaliana na masharti ya upinzani," msemaji wa Hamas Abu Obeida alisema katika kipande cha sauti kilichowekwa Jumapili kwenye kituo cha Telegram cha mrengo wa kijeshi wa kundi hilo.

Shinikizo limekuwa likiongezeka kwa maafisa juu ya watu 138 ambao bado wanashikiliwa na Hamas na vikundi vingine vyenye silaha.

Israel imeahidi mara kwa mara kufanya kila iwezalo kuwaokoa mateka waliosalia.

Takriban mateka 110 wameachiliwa kwa jumla- lakini mapatano ya wiki moja ambapo makumi ya watu waliachiliwa yalimalizika wiki iliyopita na tangu wakati huo Israel imeanza tena kulipua Gaza. Viongozi wa Israel wamerudi tena Qatar kuomba mazungumzo.
========================
Palestinian militant group Hamas, engaged in a war with Israel in the Gaza Strip, warned Sunday that no hostage would leave the territory alive unless the group’s demands were met.

“Neither the fascist enemy and its arrogant leadership... nor its supporters... can take their prisoners alive without an exchange and negotiation and meeting the demands of the resistance,” Abu Obeida, spokesman for Hamas’s armed wing, said in a televised broadcast, referring to the release of Palestinian prisoners held by Israel.

Chanzo: BBC
IMG_7838.jpeg
 
Al-Quds Brigades:

We engaged in fierce clashes with machine guns with enemy forces and targeted two Zionist tanks with “Tandum” shells in the Al-Taqaddum axis, west of the Jabalia camp.
 
Wanaukumbi.

Hamas imeonya kuwa hakuna mateka atakayeondoka Gaza akiwa hai hadi pale matakwa yake yatakapotimizwa.

"Hakuna adui wa kiyahudi na uongozi wake wa kiburi... wala wafuasi walio nyuma yao ... wanaweza kuwachukua wafungwa wao wakiwa hai bila kubadilishana, kujadiliana na kukubaliana na masharti ya upinzani," msemaji wa Hamas Abu Obeida alisema katika kipande cha sauti kilichowekwa Jumapili kwenye kituo cha Telegram cha mrengo wa kijeshi wa kundi hilo.

Shinikizo limekuwa likiongezeka kwa maafisa juu ya watu 138 ambao bado wanashikiliwa na Hamas na vikundi vingine vyenye silaha.

Israel imeahidi mara kwa mara kufanya kila iwezalo kuwaokoa mateka waliosalia.

Takriban mateka 110 wameachiliwa kwa jumla- lakini mapatano ya wiki moja ambapo makumi ya watu waliachiliwa yalimalizika wiki iliyopita na tangu wakati huo Israel imeanza tena kulipua Gaza. Viongozi wa Israel wamerudi tena Qatar kuomba mazungumzo.
========================
Palestinian militant group Hamas, engaged in a war with Israel in the Gaza Strip, warned Sunday that no hostage would leave the territory alive unless the group’s demands were met.

“Neither the fascist enemy and its arrogant leadership... nor its supporters... can take their prisoners alive without an exchange and negotiation and meeting the demands of the resistance,” Abu Obeida, spokesman for Hamas’s armed wing, said in a televised broadcast, referring to the release of Palestinian prisoners held by Israel.

Chanzo: BBC
Wapigwe kiberiti live
 
Wanaukumbi.

Hamas imeonya kuwa hakuna mateka atakayeondoka Gaza akiwa hai hadi pale matakwa yake yatakapotimizwa.

"Hakuna adui wa kiyahudi na uongozi wake wa kiburi... wala wafuasi walio nyuma yao ... wanaweza kuwachukua wafungwa wao wakiwa hai bila kubadilishana, kujadiliana na kukubaliana na masharti ya upinzani," msemaji wa Hamas Abu Obeida alisema katika kipande cha sauti kilichowekwa Jumapili kwenye kituo cha Telegram cha mrengo wa kijeshi wa kundi hilo.

Shinikizo limekuwa likiongezeka kwa maafisa juu ya watu 138 ambao bado wanashikiliwa na Hamas na vikundi vingine vyenye silaha.

Israel imeahidi mara kwa mara kufanya kila iwezalo kuwaokoa mateka waliosalia.

Takriban mateka 110 wameachiliwa kwa jumla- lakini mapatano ya wiki moja ambapo makumi ya watu waliachiliwa yalimalizika wiki iliyopita na tangu wakati huo Israel imeanza tena kulipua Gaza. Viongozi wa Israel wamerudi tena Qatar kuomba mazungumzo.
========================
Palestinian militant group Hamas, engaged in a war with Israel in the Gaza Strip, warned Sunday that no hostage would leave the territory alive unless the group’s demands were met.

“Neither the fascist enemy and its arrogant leadership... nor its supporters... can take their prisoners alive without an exchange and negotiation and meeting the demands of the resistance,” Abu Obeida, spokesman for Hamas’s armed wing, said in a televised broadcast, referring to the release of Palestinian prisoners held by Israel.

Chanzo: BBC

Wanajeshi wanauawa ila serikali inasema uongo
Nimeleta taarifa ya ushuhuda wa wanajeshi wa kizayuni kuuawa lakini Moderator ameifuta, wanakera sana, na hii sio mara ya kwanza kufuta au kuhamisha



Haya Moderator, futeni na hapa
 
Wanaukumbi.

Hamas imeonya kuwa hakuna mateka atakayeondoka Gaza akiwa hai hadi pale matakwa yake yatakapotimizwa.

"Hakuna adui wa kiyahudi na uongozi wake wa kiburi... wala wafuasi walio nyuma yao ... wanaweza kuwachukua wafungwa wao wakiwa hai bila kubadilishana, kujadiliana na kukubaliana na masharti ya upinzani," msemaji wa Hamas Abu Obeida alisema katika kipande cha sauti kilichowekwa Jumapili kwenye kituo cha Telegram cha mrengo wa kijeshi wa kundi hilo.

Shinikizo limekuwa likiongezeka kwa maafisa juu ya watu 138 ambao bado wanashikiliwa na Hamas na vikundi vingine vyenye silaha.

Israel imeahidi mara kwa mara kufanya kila iwezalo kuwaokoa mateka waliosalia.

Takriban mateka 110 wameachiliwa kwa jumla- lakini mapatano ya wiki moja ambapo makumi ya watu waliachiliwa yalimalizika wiki iliyopita na tangu wakati huo Israel imeanza tena kulipua Gaza. Viongozi wa Israel wamerudi tena Qatar kuomba mazungumzo.
========================
Palestinian militant group Hamas, engaged in a war with Israel in the Gaza Strip, warned Sunday that no hostage would leave the territory alive unless the group’s demands were met.

“Neither the fascist enemy and its arrogant leadership... nor its supporters... can take their prisoners alive without an exchange and negotiation and meeting the demands of the resistance,” Abu Obeida, spokesman for Hamas’s armed wing, said in a televised broadcast, referring to the release of Palestinian prisoners held by Israel.

Chanzo: BBC
Nafikiri Israel yenyewe imekata tamaa ndio maana imeamua kushambulia tu. Netanyau alishatangaza kwamba hawezi kuokoa mateka wote, manake amewatoa kafara alimradi tu hamas wapukutike. hiyo hata sio shida kwa Israel.
 
Waarabu wanajitambua, wapo kwenye haki na kuujua ukweli
Mimi ninawaunga mkono wapalestina ila sio kwa msingi wa uarabu au uislamu ila kwa msingi wa haki. Ninajua kuna waarabu au waislaam ambao watamnyima mtu mwingine hasa muafrika au mkristo haki kwa udini na ukabila. Hili halituzuii waomini wa haki kuwaunga mkono wapalestina kwa dhuluma kubwa wamefanyiwa na mazayuni wa kiyahudi kwa kuungwa mkono ma mabeberu marekani na ulaya ya magharibi.
 
Mimi ninawaunga mkono wapalestina ila sio kwa msingi wa uarabu au uislamu ila kwa msingi wa haki. Ninajua kuna waarabu au waislaam ambao watamnyima mtu mwingine hasa muafrika au mkristo haki kwa udini na ukabila. Hili halituzuii waomini wa haki kuwaunga mkono wapalestina kwa dhuluma kubwa wamefanyiwa na mazayuni wa kiyahudi kwa kuungwa mkono ma mabeberu marekani na ulaya ya magharibi.

Uislamu ni dini ya amani, Uislamu una huruma, Uislamu haumnyimi mtu ama mwafrika haki kwa udini na ukabila, unatutaka tutende haki kwa wote bila kujali dini, rangi ama ukabila. Kuwa muislamu ni neema kubwa sana kaka

Ahsante sana kuwaunga mkono wapalestina, ubarikiwe sana
 
Nafikiri Israel yenyewe imekata tamaa ndio maana imeamua kushambulia tu. Netanyau alishatangaza kwamba hawezi kuokoa mateka wote, manake amewatoa kafara alimradi tu hamas wapukutike. hiyo hata sio shida kwa Israel.
 
Nafikiri Israel yenyewe imekata tamaa ndio maana imeamua kushambulia tu. Netanyau alishatangaza kwamba hawezi kuokoa mateka wote, manake amewatoa kafara alimradi tu hamas wapukutike. hiyo hata sio shida kwa Israel.
Naona unaongea fikra zako hao Mateka wakifa huko Gaza ni pigo kwa Netanyahu mwenyewe na chama chake cha Likud. Hamas wajanja sana Mateka waliobaki wengi ni wanajeshi na maofisa wakuu wa jeshi la Israel, Waisrael wao hawana habari ya mauaji ya Gaza wao wanataka kuakikishiwa usalama wao maana hawataki kufa wanaamini wana kila kitu cha kuwalinda.

Netanyahu, kaishawatuma Mossad Qatar wakaongee na Hamas kuhusu mateka, ni aibu kubwa hawajawahi kupoteza wanajeshi wengi kama hawa kwenye vita, wewe endelea kujifariji nenda kasome jarida la Haaretz wanavyolia huko.
 
Back
Top Bottom