Hamis Kigwangala tena, huyu jamaa sijui shida nini

Hamis Kigwangala tena, huyu jamaa sijui shida nini

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Hii itakuwa kazi ya Hamis Kigwangala. Huyu ndiyo alimchonga mjomba wake akaja kutuambia ni Hayati Baba Wa Taifa J.K Nyerere. Alipoonesha watu kwa mara ya kwanza wakawa hawaelewi anawaonesha sanamu ya nani.

Ndiyo mmoja mtu mzima mwana CCM kindaki toka miaka ya 70 akauliza hiyo sanamu ya nani? Kigwangala akamkazia macho, "We huoni kama ni Nyerere huyo?".Yule mzee akasogea karibu kabisa na lile sanamu. Akaangalia kama dk 5 nzima, akafikicha macho akaangalia tena huku akiwa ameyatumbua.

Akamuita mtoto wake na kumwambia aangalie aseme ni sanamu ya nani. Yule mtoto akasema hafahamu kwa kweli. Kigwangala akatangaza kuwa kwanzia sasa hiyo itakuwa ni sanamu ya Nyerere. Watu wakaguna. Akasisitiza, kuwa huyo ni Nyerere. Tena ukisogea karibu ni Nyerere mtu.

basi wakaamua kukubaliana kuwa hiyo sanamu imeamuliwa iwe ni ya Nyerere. Sasa leo tunakutana na Kigwangala mwingine. Anatuambia huyu ni Sadio Kanoute. Oooh, sorry i meant Sadio Mane.

Nisikuchoshe, Usinichose na tusichoshane. Its Kigwangala again!

Screenshot_2022-11-06-01-46-53-002_com.twitter.android~2.jpg
 
Hii itakuwa kazi ya Hamis Kigwangala. Huyu ndo alimchonga mjomba wake akaja kutuambia ni Hayati Baba Wa Taifa J.K Nyerere. Alipoonesha watu kwa mara ya kwanza wakawa hawaelewi anawaonesha sanamu ya nani.

Ndo mmoja mtu mzima mwana CCM kindaki toka miaka ya 70 akauliza hiyo sanamu ya nani. Kigwangalah akamkazia macho... "We huoni kama ni Nyerere huyo?" Yule mzee akasogea karibu kabisa na lile sanamu. Akaangalia kama dk 5 nzima.akafikicha macho akaangalia tena huku akiwa ameyatumbua.

Akamuita mtoto wake na kumwambia aangalie aseme ni sanamu ya nani. Yule mtoto akasema hafahamu kwa kweli. Kigwangala akatangaza kuwa kwanzia sasa hiyo itakuwa ni sanamu ya Nyerere. Watu wakaguna. Akasisitiza... Kuwa huyo ni Nyerere. Tena ukisogea karibu ni Nyerere mtu.

basi wakaamua kukubaliana kuwa hiyo sanamu imeamuliwa iwe ni ya Nyerere. Sasa leo tunakutana na Kigwangala mwingine. Anatuambia huyu ni Sadio Kanoute. Oooh. Sorry i meant Sadio Mane.

nisikuchoshe. Usinichose na tusichoshane.... Its Kigwangala again....

View attachment 2407992
sanamu hii iko wapi!??
 
Huyu kigwangala ukimsoma au kumsikiliza unagundua mfumo wetu wa Elimu ni wa hovyo sana. Utaambiwa ni Dr.
Aliingia wizara ya afya na mikwara mizito, hakuuliza kwamba wengine tuko pale tangu kipindi Cha mzee ruksa.
Dogo anakurupuka Hana mfano. Kuna siku amefunga geti saa mbili asubuhi ili wschelewaji wasiingie wakati Kimara Mbezi kipindi kile kulikua na foleni ya kufa mtu. Tulipoona geti limefungwa huku wengine tukiwa na funguo za sehemu nyeti, tukasema hewala, ngoja tukalishe nguruwe wetu Kimara.
Kila dogo anapokanyaga lazima aharibu. Hivi huyu jamaa siku hizi anajua kuongea kipare?
 
Aliingia wizara ya afya na mikwara mizito, hakuuliza kwamba wengine tuko pale tangu kipindi Cha mzee ruksa.
Dogo anakurupuka Hana mfano. Kuna siku amefunga geti saa mbili asubuhi ili wschelewaji wasiingie wakati Kimara Mbezi kipindi kile kulikua na foleni ya kufa mtu. Tulipoona geti limefungwa huku wengine tukiwa na funguo za sehemu nyeti, tukasema hewala, ngoja tukalishe nguruwe wetu Kimara.
Kila dogo anapokanyaga lazima aharibu. Hivi huyu jamaa siku hizi anajua kuongea kipare?
Afya ya akili. Ukimwangalia unaona si mzima kichwani.
 
Back
Top Bottom