Hamis Taletale: Neno Rais litumike kwa Rais wa nchi na si wengine kama TFF

Jamani Morogoro tumeishiwa. Hiyo ndiyo kero yenu kubwa? Mbuge wetu kasimama eti hana jingine la kuwasemea watu wake. Kura zetu zimeharibika jamani.
 
Waliojukuu tu ndio wanafaa kuitwa 'Babu'. Hawezi mtu mpuuzi mpuuzi akaitwa babu.
Yes uko sahihi sana,yaani kwanza kabla hajaanza kukosoa viongozi wa juu wa baadhi ya taasisi kuitwa Rais,angeanza na kujikosoa yeye kwa kujipa jina la babu!.Yaani msela mavi kama yeye wa Manzese TipTop huo ubabu anaupataje?,haoni anawavunjia heshima mababu zetu?.Yaani huyu ni kilaza kabisa na hakua na sifa za kwenda bungeni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…